King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Takbirrrrrrrrrrrrrrrrr.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumradhini wanazuoni, Hivi ni kweli Mmarekani Neil Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikikia sauti ya Azaan?
=====
When Neil Armstrong and co. walked on the moon, they heard sounds in a strange language they did not understand. ‘When Neil Armstrong went to Egypt, he heard the adhan, and said, "it was spacey something similar I heard while I was on the moon". Egyptian Friend told him that, it was the sound of Azaan (call for Muslim prayer). And Neil Armstrong immediately became Muslim because of this experience.
Source: wikipedia
Wapo wengi sana ila kwa amstrng ni porojo pls trust me!
siyo kweli, halafu haiko kwenye WIKIPEDIA, hiyo ipo kwenye WIKIISLAM.Kumradhini wanazuoni, Hivi ni kweli Mmarekani Neil Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikikia sauti ya Azaan?
=====
When Neil Armstrong and co. walked on the moon, they heard sounds in a strange language they did not understand. ‘When Neil Armstrong went to Egypt, he heard the adhan, and said, "it was spacey something similar I heard while I was on the moon". Egyptian Friend told him that, it was the sound of Azaan (call for Muslim prayer). And Neil Armstrong immediately became Muslim because of this experience.
Source: wikipedia
Asante mkuu physics and astronomy imekuwa ndani ya damu sasaMkuu umenikumbusha mbali mno. Physics form four, "waves" iyo topic tulisoma kupitia Abbott, Oxford, na vitabu vya uk. Tulikuwa deep enzi zetu wakati tunasoma. Sasa wewe ulikuwa na hoja kama yangu. Naomba ukawe balozi mzuri wa kuhamasisha watoto kusoma fizikia na masomo ya sayansi kwa ujumla.
. Welcome mr. Einstein
Wapo wengi walioenda sema kwa amsrng ilikuwa ni rusha roho kwa russia
Hongera. Mkuu hata physics yenyewe. Ina kinzana humo humo ni vyema uwe deep ukisoma. Si unajua ukweli haufundishwi darasani bali unatafutwa. Self work outs zitakufanya uwe deep ktk physics na astronomyAsante mkuu physics and astronomy imekuwa ndani ya damu sasa
Wapo wengi walioenda sema kwa amsrng ilikuwa ni rusha roho kwa russia
Unaposema 12 tayar washakuw weng na uctegemee watabak hao 2!!! Ina maana kuna wengine wataenda; na kuhusu wp npta data hata nikikuambia huwez amin! so, jua hivyo!!Ni zaidi ya miaka 40 toka mwanadamu wa mwisho akanyage mwezi. Watu wapatao 12 tu ndiyo wameweza kufika mwezini, wewe unaesema kuna watu wameenda huko hivi karibuni unatoa wapi habari zako. Nakuwekea link hapa chini:
40 Years After Moon Landing: Why Is It So Hard to Go Back?
Watu 12 walioenda wote Ni zaidi ya miaka40 iiliyopota wewe unadai kuna mtu katoka huko juzi. Acha UONGOUnaposema 12 tayar washakuw weng na uctegemee watabak hao 2!!! Ina maana kuna wengine wataenda; na kuhusu wp npta data hata nikikuambia huwez amin! so, jua hivyo!!
Ttzo unataka mashindano ya kuonesha nani mwamba! Ila jua HIVYO?!Watu 12 walioenda wote Ni zaidi ya miaka40 iiliyopota wewe unadai kuna mtu katoka huko juzi. Acha UONGO
Tatizo unadanganya mchana kweupe ukidhani habari unazo peke yako. Acha UONGOTtzo unataka mashindano ya kuonesha nani mwamba! Ila jua HIVYO?!
Ttzo hat hmu jf wapo kna magu na wengneo lkn huwez watambua! Ni CFT hzo data!Tatizo unadanganya mchana kweupe ukidhani habari unazo peke yako. Acha UONGO
Kwa Kuweka profile ya NASA unajikuta na wewe ni mwandani wa NASA meanwhile hujui unaemdanganya ana uelewa kiasi gani wa haya mambo au ni nani. Acheni kuwa delusional nyie watoto. FYI program ya manned mission to the moon ilifutwa kabisa hata fungu lake halitolewi hivyo haipo tena kadhalika budget ya NASA ilipunguzwa kwa kuona space exploration Ni upotezaji wa resources huku faida yake ikiwa ndogo ndiyo hapo unaona mwamko wa spaceX na private space exploration agencies. Nimemaliza!Ttzo hat hmu jf wapo kna magu na wengneo lkn huwez watambua! Ni CFT hzo data!
Tatzo unakrupk baki hivyo hivyo na mm nakubaliana na we ili nikuache uendelee!Kwa Kuweka profile ya NASA unajikuta na wewe ni mwandani wa NASA meanwhile hujui unaemdanganya ana uelewa kiasi gani wa haya mambo au ni nani. Acheni kuwa delusional nyie watoto. FYI program ya manned mission to the moon ilifutwa kabisa hata fungu lake halitolewi hivyo haipo tena kadhalika budget ya NASA ilipunguzwa kwa kuona space exploration Ni upotezaji wa resources huku faida yake ikiwa ndogo ndiyo hapo unaona mwamko wa spaceX na private space exploration agencies. Nimemaliza!