mnang'umba
JF-Expert Member
- Jun 26, 2015
- 471
- 150
Angesikia kengele ya kanisani mgekubali,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu uko sahihi kabisa Armstrong kwanza hakufika mwezini hio iko wazi na fact zipo pili ukitoka nje ya dunia means unakuwa nje ya atmosphere ambayo hii atmosphere ni mchanganyiko wa gas mbali mbali nitrogen na oxygen zaidi ,Sasa sauti ikisafirishwa direct nje ya atmosphere haitaweza kusafiri means hata uwe umeshikana na mtu akiongea hutamsikia coz sound ni mechanical waves na ni lazima pawepo medium ili kusafiri medium huwa ni atmosphere Sasa never hao astronaut kusikia chochote nje ya dunia , Watasikia tu au kuwasiliana kwa kutumia Radio waves ambazo zenyewe haziitaji medium kusambaa ata kwenye vacuum zinapita hzi electromagnetic waves , wana anga wanavaa special handset ambazo mwenzie anapoongea sauti hio hubadilishwa na kuwa radio waves kisha kusambaa nakumfikia mwenzie kwa radio waves then ina decode nakusikia the actual thing sasa izi porojo za azana Ni hadithi tu za sungura na fisiUkweli ni kwamba nnje ya dunia hakuna gas..... Hivyo basi hata ukikaa pembeni yangu huwezi nisikia. Hadi tutumie vifaa... Ambavyo vitatumia radio waves. Ndio tuweze kusikilizana........ Je huyo Armstrong alisikiaje hiyo sauti? Naomba wana fizikia mnijibu kisomi zaidi ...... Hatutaki mambo ya youtube hapa...
KisomaX
Alienda Egypt akasikia alicho sikia huko mwezini kuuliza akaambiwa ni adhanaAlijuaje kuwa ni azana kwenye sayari nyingine
Yaani kwa mfano utoke uislamu na kuwa mkristo au Budha na kuwa Orthodox ndo maana yake hiyo?Ukitaka ukione cha mtema kuni uwe public figure USA kisha ubadili dini.
Mimi hapa nimefika am seriously mkuu!Hakuna binadamu yeyote aliyewahi kufika mwezini. Unaamini movie za Hollywood? Labda kama alifika mwezini kwa maana ile nyingine.
Alienda wapi?!Nani alikudanganya kuwa armstrong alikanyaga mwezini? hakufika hata kudogo.
Nani alikudanganya kuwa armstrong alikanyaga mwezini? hakufika hata kudogo.
VIP kuhusu Adrian buzz?!Ingia google angalia The truth about Armstrong's trip. na mengeneyo utajicheka wewe unayedanganywa.
Kwahiyo ile saut ilkuw ni mbwembw?!wali stage mchezo mzima wa kuigiza eti Armstrong kaenda mwezini lakini kopo la pepsi likawaumbua kwani lilionekana "mwezini" teh teh teh!
Alienda MSOGA akipitia CHATO rod!Armstrong "HAKWENDA" mwezini.
James eliasonWho did go to the moon after then? I believe u will say NO
Acha kukurupuka bwana mdogo!Niko karne ya 21 mkuu, kule mwezini hakuna environment inayoruhusu kuingia binadamu hata kwa muda mfupi tu. Kuna solar wind za hatari sana.
Duuh!! Hapo penye mungu pana shidaBaada ya hapo ndio lilianza wimbi la wazungu kusilimu hadi leo wakiamini kwamba amstrong alikuwa na evidence muhimu kuonyesha kwamba dini ya mungu ni islam
Ina maana kujitoa mhanga na kusababisha maelfu ya mauaji kumbe ni haki mbele ya mungu?! Ndiyo maana wakina kiranga na Einstein mnashindwana nao!Neil Armstrong Alisikia Adhana mbinguni kwa sababu ya Dini inayotambulika mbele ya Mwenyeezi Mungu ni Dini ya kiislam. Hakuna dini ingine anayo itambuwa Mwenyeezi Mungu zaidi ya Dini ya Kiislam na ndio Dini ya ukweli na Dini ya haki mbele yake Mwenyeezi Mungu. Ushahidi soma Quran Sura 3 Aya 19.
19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
chanzo.3. SURAT AL I'MRAN