John mungo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 1,008
- 1,028
Walifanya kamchezo kachafu sehemu moja inaitwa nevada sehemu hiyo ina itwa erial 51 hapo ndo mchezo ulipo fanyika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko karne ya 21 mkuu, kule mwezini hakuna environment inayoruhusu kuingia binadamu hata kwa muda mfupi tu. Kuna solar wind za hatari sana.
Mnashangaa nini? Uislam ni dini ya binadamu na majini, kwakuwa majin wanaweza kwenda ktk sayar nyingne tofaut na dunia basi huenda majin walikuwa wanaalikana ktk muda wa ibada ya swala.
Kiwango cha ujinga cha watanzania kinastaajabisha.
Waislam wamekuwa warahisi sana kufall for propaganda. Wao huwa hawajiulizi Mara mbili ili mradi kinafavor dini yao wao wanaamini bila kujiuliza ndio Maana kila siku wanajazwa propaganda.
Msijibu kimtaani jibuni kwa point jamaa n kweli alichange ila dunia walijaribu wazungu kuficha na siyo yeye tu wapo wengi.....swala.tunayosali sisi sio.sisi tu bali had mbinguni ukifika muda wa swala unanadaiwa akhera ibada IPO ....na hiyo ndo tafaut yetu sisi na makafiri semeni mnavosema wapo wenzenu walopita wakubwa kwa umbo sisi kama nyie wenye nguvu na uwezo walisema mengi na kuyatenda lkn iliposhuka hasira yake aliyewaumba n kufumba na kufumbua washakufa.......Poleni sisi tunamuabudu mwenyezi mungu aloumba ardhi na mbingu mwenyezi mungu ambaye hana mshirika wala hakuzaaa wala hakuzaliwa wala hafanani na chochote kile n vyake peke yake vya ulimwenguni na akhera na kwake tutarejea......Mbona mnashaka juu ya aliyewaumba au mmeumbwa na yesu au.brayan diskon aliyeigza km yesu mnaymvaa na kumpgia magoti sanamu lake??? je wapi mnakwenda wako wapi mitume na manabii walopewa uwezo?Mwenyezi mungu anasema kila nafsi itaonja umauti hata Zrael naye ataonja umauti wewe n nani wa kupinga uwezo wake Mola Mtukufu wa ulimwengu??? kama wew amekutoa ulipokuwa mbegu kuja kuwa pande la damu had mtu ukaunganika ukatoka katka sehem ya mwanamke ndogo lkn ukatoka na mbichwa wako huo ujui n rehma zake yeye?mtie chupa uone km ajafa mbona www umetoka? hakika mola wenu n mtukufu hakuna miungu ila kuna mwenyezi mungu n 1 tu wakristo mwalijua hilo japo mwajitoa fahamu.....em nambie uloyaona tumboni mwa maako nambie ulvokuwa mdogo zaid ulokuwa ukiyaona ambayo wakubwa wenye uwezo.wa kusema hatuyaoni em yaseme????Acheni ujinga iko mifano tele ya uwezo wa mwenyezi mungu.....watazameni wenzenu waloshushiwa samaki toka mbinguni hamjatazama BBC sio uchawi wala uzushi n rehma zake mola wenu.....acheni ujinga tafuteni ya kusema msiseme mengne mwajiondoshea baraka kama c! w bali kizazi chako
hahaha so unamaanisha hakuna mtu alotoka nje ya dunia bro? sion mantik ya kusema umedanganywa hahhaha that is too funny
hueleweki!msijibu kimtaani jibuni kwa point jamaa n kweli alichange ila dunia walijaribu wazungu kuficha na siyo yeye tu wapo wengi.....swala.tunayosali sisi sio.sisi tu bali had mbinguni ukifika muda wa swala unanadaiwa akhera ibada ipo ....na hiyo ndo tafaut yetu sisi na makafiri semeni mnavosema wapo wenzenu walopita wakubwa kwa umbo sisi kama nyie wenye nguvu na uwezo walisema mengi na kuyatenda lkn iliposhuka hasira yake aliyewaumba n kufumba na kufumbua washakufa.......poleni sisi tunamuabudu mwenyezi mungu aloumba ardhi na mbingu mwenyezi mungu ambaye hana mshirika wala hakuzaaa wala hakuzaliwa wala hafanani na chochote kile n vyake peke yake vya ulimwenguni na akhera na kwake tutarejea......mbona mnashaka juu ya aliyewaumba au mmeumbwa na yesu au.brayan diskon aliyeigza km yesu mnaymvaa na kumpgia magoti sanamu lake??? Je wapi mnakwenda wako wapi mitume na manabii walopewa uwezo?mwenyezi mungu anasema kila nafsi itaonja umauti hata zrael naye ataonja umauti wewe n nani wa kupinga uwezo wake mola mtukufu wa ulimwengu??? Kama wew amekutoa ulipokuwa mbegu kuja kuwa pande la damu had mtu ukaunganika ukatoka katka sehem ya mwanamke ndogo lkn ukatoka na mbichwa wako huo ujui n rehma zake yeye?mtie chupa uone km ajafa mbona www umetoka? Hakika mola wenu n mtukufu hakuna miungu ila kuna mwenyezi mungu n 1 tu wakristo mwalijua hilo japo mwajitoa fahamu.....em nambie uloyaona tumboni mwa maako nambie ulvokuwa mdogo zaid ulokuwa ukiyaona ambayo wakubwa wenye uwezo.wa kusema hatuyaoni em yaseme????acheni ujinga iko mifano tele ya uwezo wa mwenyezi mungu.....watazameni wenzenu waloshushiwa samaki toka mbinguni hamjatazama bbc sio uchawi wala uzushi n rehma zake mola wenu.....acheni ujinga tafuteni ya kusema msiseme mengne mwajiondoshea baraka kama c! W bali kizazi chako
Sound can not travel on vacum!
Mwezini hakuna atmosphere kwa hiyo hakuna sauti
Mwezini huwezi sikia sauti yoyote kwasababu ya mgandamizo wa hewa. Ukipiga kelele utasikika kwa umbali wa mita 7 nje na hapo hutasikika hata ukipeleka loudspeaker
Neil Armstrong Alisikia Adhana mbinguni kwa sababu ya Dini inayotambulika mbele ya Mwenyeezi Mungu ni Dini ya kiislam. Hakuna dini ingine anayo itambuwa Mwenyeezi Mungu zaidi ya Dini ya Kiislam na ndio Dini ya ukweli na Dini ya haki mbele yake Mwenyeezi Mungu. Ushahidi soma Quran Sura 3 Aya 19.
19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
chanzo.3. SURAT AL I'MRAN