Kwanini Mmarekani Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikia sauti ya Azaan?

Kwanini Mmarekani Armstrong alipokanyaga mwezini 1969 alisikia sauti ya Azaan?

Walifanya kamchezo kachafu sehemu moja inaitwa nevada sehemu hiyo ina itwa erial 51 hapo ndo mchezo ulipo fanyika.
 
Kuna movie moja nimeisahau jina ila ilikuja kufungiwa kutokana na kile kilicho semwa kuwa ina potosha watu na ukweli wa armstrong ubakie kuwa hivyo!!
 
USHAHIDI

1. Apollo 14 astronaut Allen
Shepard played golf on the
Moon. In front of a worldwide
TV audience, Mission Control
teased him about slicing the
ball to the right. Yet a slice is caused by uneven air flow
over the ball. The Moon has no
atmosphere and no air.

2. A camera panned upwards
to catch Apollo 16's Lunar
Landerlifting off the Moon.
Who did the filming?

3. One NASA picture from
Apollo 11 is looking up at Neil
Armstrong about to take his
giant step for mankind.

The
photographer must have been
lying on the planet surface. If Armstrong was the first man
on the Moon, then who took the
shot?

4. The pressure inside a
space suit was greater than
inside a football. The
astronauts should have been
puffed out like the Michelin
Man, but were seen freely bending their joints.

5. The Moon landings took
place during the Cold War.
Why didn't America make a
signal on the moon that could
be seen from earth?
 
Kwanza amstrong hakuwahi fika mwezini!!!
it was filmed in area 51
!! so kwa kifupi hio ni propaganda!!!
au uongo mtakatifu
 
Niko karne ya 21 mkuu, kule mwezini hakuna environment inayoruhusu kuingia binadamu hata kwa muda mfupi tu. Kuna solar wind za hatari sana.

Ulijuaje mkuu kuwa mwezini kuna Solar winds za kufa mtu?
 
Mnashangaa nini? Uislam ni dini ya binadamu na majini, kwakuwa majin wanaweza kwenda ktk sayar nyingne tofaut na dunia basi huenda majin walikuwa wanaalikana ktk muda wa ibada ya swala.

JF bwana, hata kama ulikuwa huna mpango wa kucheka, lazima utacheka tu.
 
Kiwango cha ujinga cha watanzania kinastaajabisha.

Waislam wamekuwa warahisi sana kufall for propaganda. Wao huwa hawajiulizi Mara mbili ili mradi kinafavor dini yao wao wanaamini bila kujiuliza ndio Maana kila siku wanajazwa propaganda.

Hawa ndivyo walivyo, hawatafakari jambo kwa kina, ili mradi liwe ninapendelea dini yao hata kama ni la kijinga kiasi gani wao watalishabikia, shida ni moja, hawaruhusiwi kureason.
 
Msijibu kimtaani jibuni kwa point jamaa n kweli alichange ila dunia walijaribu wazungu kuficha na siyo yeye tu wapo wengi.....swala.tunayosali sisi sio.sisi tu bali had mbinguni ukifika muda wa swala unanadaiwa akhera ibada IPO ....na hiyo ndo tafaut yetu sisi na makafiri semeni mnavosema wapo wenzenu walopita wakubwa kwa umbo sisi kama nyie wenye nguvu na uwezo walisema mengi na kuyatenda lkn iliposhuka hasira yake aliyewaumba n kufumba na kufumbua washakufa.......Poleni sisi tunamuabudu mwenyezi mungu aloumba ardhi na mbingu mwenyezi mungu ambaye hana mshirika wala hakuzaaa wala hakuzaliwa wala hafanani na chochote kile n vyake peke yake vya ulimwenguni na akhera na kwake tutarejea......Mbona mnashaka juu ya aliyewaumba au mmeumbwa na yesu au.brayan diskon aliyeigza km yesu mnaymvaa na kumpgia magoti sanamu lake??? je wapi mnakwenda wako wapi mitume na manabii walopewa uwezo?Mwenyezi mungu anasema kila nafsi itaonja umauti hata Zrael naye ataonja umauti wewe n nani wa kupinga uwezo wake Mola Mtukufu wa ulimwengu??? kama wew amekutoa ulipokuwa mbegu kuja kuwa pande la damu had mtu ukaunganika ukatoka katka sehem ya mwanamke ndogo lkn ukatoka na mbichwa wako huo ujui n rehma zake yeye?mtie chupa uone km ajafa mbona www umetoka? hakika mola wenu n mtukufu hakuna miungu ila kuna mwenyezi mungu n 1 tu wakristo mwalijua hilo japo mwajitoa fahamu.....em nambie uloyaona tumboni mwa maako nambie ulvokuwa mdogo zaid ulokuwa ukiyaona ambayo wakubwa wenye uwezo.wa kusema hatuyaoni em yaseme????Acheni ujinga iko mifano tele ya uwezo wa mwenyezi mungu.....watazameni wenzenu waloshushiwa samaki toka mbinguni hamjatazama BBC sio uchawi wala uzushi n rehma zake mola wenu.....acheni ujinga tafuteni ya kusema msiseme mengne mwajiondoshea baraka kama c! w bali kizazi chako
 
waislamu wamekuwa watu wakuaminishwa kizembe kabisa nadhani sababu pia ni kuwa jamii yao wengi hawana elimu infact nadhani tunaona hali ya mikoa ya pwani ambapo ndo umekithiri yani wao hakuna kuhoji bora jambo lina favor poa dini yao basi watalibeba ivo ivo jambo ambalo ata ukitumia akili kidogo tu kulichambua unagundua ni impossible bado kwenye kuforwadia sms za kawaida huko ndo utachoka kwa uzushi unaosambazwa Yani ovyoooooooooooo
 
Msijibu kimtaani jibuni kwa point jamaa n kweli alichange ila dunia walijaribu wazungu kuficha na siyo yeye tu wapo wengi.....swala.tunayosali sisi sio.sisi tu bali had mbinguni ukifika muda wa swala unanadaiwa akhera ibada IPO ....na hiyo ndo tafaut yetu sisi na makafiri semeni mnavosema wapo wenzenu walopita wakubwa kwa umbo sisi kama nyie wenye nguvu na uwezo walisema mengi na kuyatenda lkn iliposhuka hasira yake aliyewaumba n kufumba na kufumbua washakufa.......Poleni sisi tunamuabudu mwenyezi mungu aloumba ardhi na mbingu mwenyezi mungu ambaye hana mshirika wala hakuzaaa wala hakuzaliwa wala hafanani na chochote kile n vyake peke yake vya ulimwenguni na akhera na kwake tutarejea......Mbona mnashaka juu ya aliyewaumba au mmeumbwa na yesu au.brayan diskon aliyeigza km yesu mnaymvaa na kumpgia magoti sanamu lake??? je wapi mnakwenda wako wapi mitume na manabii walopewa uwezo?Mwenyezi mungu anasema kila nafsi itaonja umauti hata Zrael naye ataonja umauti wewe n nani wa kupinga uwezo wake Mola Mtukufu wa ulimwengu??? kama wew amekutoa ulipokuwa mbegu kuja kuwa pande la damu had mtu ukaunganika ukatoka katka sehem ya mwanamke ndogo lkn ukatoka na mbichwa wako huo ujui n rehma zake yeye?mtie chupa uone km ajafa mbona www umetoka? hakika mola wenu n mtukufu hakuna miungu ila kuna mwenyezi mungu n 1 tu wakristo mwalijua hilo japo mwajitoa fahamu.....em nambie uloyaona tumboni mwa maako nambie ulvokuwa mdogo zaid ulokuwa ukiyaona ambayo wakubwa wenye uwezo.wa kusema hatuyaoni em yaseme????Acheni ujinga iko mifano tele ya uwezo wa mwenyezi mungu.....watazameni wenzenu waloshushiwa samaki toka mbinguni hamjatazama BBC sio uchawi wala uzushi n rehma zake mola wenu.....acheni ujinga tafuteni ya kusema msiseme mengne mwajiondoshea baraka kama c! w bali kizazi chako

Mungu ni mbinafsi ndo mana hakukuletea nabii ww mwafrika,mchina,mwamerika na wengineo mungu kama yupo nadhani watu wanaopaswa wamuabudu ni wa middle East mana yeye inasemekana ni muweza wa yote ila mitume zake wametokea sehemu moja
 
hahaha so unamaanisha hakuna mtu alotoka nje ya dunia bro? sion mantik ya kusema umedanganywa hahhaha that is too funny

inawezekana ww ndio ukawa unafurahisha, ila ukwel n kwamba akuna aliye tia mguu wake mwezin... acha kupenda kusikiza porojo za maleken na story za kijiwen
 
Mimi sio mtu wa kuyaongelea haya mambo sana ila imani yako juu ya jambo fulani isijengwe kwakuwa fulani anafanya bali matunda na matokeo yako juu ya unaloliamini. Labda nieleweshwe alivyoisikia sauti kana ikikuwa hivyo aliamini hai ni malaika, binadamu au? Nguvu ya kutetea jambo Fulani LA imani ukweli unaujua wewe mwenyewe, unajua matunda, nguvu, mafundisho na matendo ya imani unayiiamini na sio kwa sababu labda nimesikia watu fulani, eneo fulani wanaabudu kama nifanyavyo. By the way kama unaamini ufanyacho ni bora au chema zaidi kuliko kingine sioni maana ya kukitetea kwa NGUVU nyingi, kiimini huwa tunadhihirisha kwa matendo ambayo huwa na ushawishi kuliko upanga.
 
msijibu kimtaani jibuni kwa point jamaa n kweli alichange ila dunia walijaribu wazungu kuficha na siyo yeye tu wapo wengi.....swala.tunayosali sisi sio.sisi tu bali had mbinguni ukifika muda wa swala unanadaiwa akhera ibada ipo ....na hiyo ndo tafaut yetu sisi na makafiri semeni mnavosema wapo wenzenu walopita wakubwa kwa umbo sisi kama nyie wenye nguvu na uwezo walisema mengi na kuyatenda lkn iliposhuka hasira yake aliyewaumba n kufumba na kufumbua washakufa.......poleni sisi tunamuabudu mwenyezi mungu aloumba ardhi na mbingu mwenyezi mungu ambaye hana mshirika wala hakuzaaa wala hakuzaliwa wala hafanani na chochote kile n vyake peke yake vya ulimwenguni na akhera na kwake tutarejea......mbona mnashaka juu ya aliyewaumba au mmeumbwa na yesu au.brayan diskon aliyeigza km yesu mnaymvaa na kumpgia magoti sanamu lake??? Je wapi mnakwenda wako wapi mitume na manabii walopewa uwezo?mwenyezi mungu anasema kila nafsi itaonja umauti hata zrael naye ataonja umauti wewe n nani wa kupinga uwezo wake mola mtukufu wa ulimwengu??? Kama wew amekutoa ulipokuwa mbegu kuja kuwa pande la damu had mtu ukaunganika ukatoka katka sehem ya mwanamke ndogo lkn ukatoka na mbichwa wako huo ujui n rehma zake yeye?mtie chupa uone km ajafa mbona www umetoka? Hakika mola wenu n mtukufu hakuna miungu ila kuna mwenyezi mungu n 1 tu wakristo mwalijua hilo japo mwajitoa fahamu.....em nambie uloyaona tumboni mwa maako nambie ulvokuwa mdogo zaid ulokuwa ukiyaona ambayo wakubwa wenye uwezo.wa kusema hatuyaoni em yaseme????acheni ujinga iko mifano tele ya uwezo wa mwenyezi mungu.....watazameni wenzenu waloshushiwa samaki toka mbinguni hamjatazama bbc sio uchawi wala uzushi n rehma zake mola wenu.....acheni ujinga tafuteni ya kusema msiseme mengne mwajiondoshea baraka kama c! W bali kizazi chako
hueleweki!
 
Sound can not travel on vacum!

If Allah wishes it does. He can make things go against nature when he widhes so . He says "Be!!" and it happens. Moses walked across the sea with his people . And so can sound travel in vaccum by His grace!
 
Mwezini huwezi sikia sauti yoyote kwasababu ya mgandamizo wa hewa. Ukipiga kelele utasikika kwa umbali wa mita 7 nje na hapo hutasikika hata ukipeleka loudspeaker

kwanini iwe mita 7 na sio vinginevyo?
 
Neil Armstrong Alisikia Adhana mbinguni kwa sababu ya Dini inayotambulika mbele ya Mwenyeezi Mungu ni Dini ya kiislam. Hakuna dini ingine anayo itambuwa Mwenyeezi Mungu zaidi ya Dini ya Kiislam na ndio Dini ya ukweli na Dini ya haki mbele yake Mwenyeezi Mungu. Ushahidi soma Quran Sura 3 Aya 19.

19. Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

chanzo.3. SURAT AL I'MRAN

yaan huyu mungu huyu anapenda sana kuadhibu watu wake hasa kwa vitu vidogo vidogo kama hivi.
 
Back
Top Bottom