SureWestern media propaganda, people have been brainwashed.
Haswa tena wamevurugwa na kuvurugikaWestern media propaganda, people have been brainwashed.
hiyo ndio sababu au umejiandikia tu mkuuKwasababu hayana akili yako radhi kuua mtu kwaajili ya mambo ya imani. Yaani yanatekeleza maagizo ya mpumbavu mmoja hivi aliye yadanganya kuwa yanafanya jihad akayaahidi kuyapa bikira 72.
Nduyo sababu, ukiona mtu yuko tayari kuya mtu kisa imani jua huyo ni gaidi.hiyo ndio sababu au umejiandikia tu mkuu
SAFI KABSAKwasababu hayana akili yako radhi kuua mtu kwaajili ya mambo ya imani. Yaani yanatekeleza maagizo ya mpumbavu mmoja hivi aliye yadanganya kuwa yanafanya jihad akayaahidi kuyapa bikira 72.
hao hezbollah hua target zao ni kuua raia wa israel au huwa zaid wanalenga jeshi la israel mkuuNduyo sababu, ukiona mtu yuko tayari kuya mtu kisa imani jua huyo ni gaidi.
Hakuna Watu wajinga na wasiojua mambo yanayoendelea duniani kama raia wa marekani na nchi nyingi za ulaya.Kwa Marekani na Uingereza, Nelson Mandela naye alikuwa ni gaidi.
Hadi kufikia mwaka 2008, Mandela alikuwemo kwenye orodha ya magaidi [ya Wamarekani].
Leo hii, hapo Parliament Square, London, kuna sanamu la Nelson Mandela!
Wengine ambao masanamu yao yapo hapo Parliament Square ni Winston Churchill, Benjamin Disraeli, Abraham Lincoln, Mahatma Gandhi, n.k.
fafanua mkuu ki vipiHakuna Watu wajinga na wasiojua mambo yanayoendelea duniani kama raia wa marekani na nchi nyingi za ulaya.
Haswa tena wamevurugwa na kuvurugika
Wao kila wanaloambiwa wanafuata mkumbo tu
Picha zinajielezaView attachment 3118084
ili kipindi cha nyuma hata mimi nilikua nawaamini sana hao wamagharibi kumbe ilikua kinyume chakeNdio utashangaa sana, hizo ni media za West ambazo nyinyi kama sio zote zinakuwa influenced na Israel.
Infact gaidi namba moja duniani ni Israel na USA. Sio mimi ni huyu former US soldier anasema msikilize hapa chini
View: https://youtu.be/uaO2m9hpBLI?si=JUIW_Yk_4YbGRITl
Itakuwa ni wewe na yule shangazi yako wa namtumboNI magaidi ya Kiislamu