Kwanini Mnaita Hezbullah, Hamas kuwa ni Magaidi?

Kwanini Mnaita Hezbullah, Hamas kuwa ni Magaidi?

Kwa Marekani na Uingereza, Nelson Mandela naye alikuwa ni gaidi.

Hadi kufikia mwaka 2008, Mandela alikuwemo kwenye orodha ya magaidi [ya Wamarekani].


Leo hii, hapo Parliament Square, London, kuna sanamu la Nelson Mandela!

Wengine ambao masanamu yao yapo hapo Parliament Square ni Winston Churchill, Benjamin Disraeli, Abraham Lincoln, Mahatma Gandhi, n.k.
Kwani ni uongo? Mandela was a terrorist hadi kesi yake ni ugaidi... hata Tanzania Tuliwahifadhi magaidi wa South Africa na Msumbuji na kwapa silaha same anavyofanya Iran... Aluta Continua. Shetani pia alikuwa Gaidi Mbinguni theluthi Moja aliwashawishi kuasi, as per anunaki Story human we are fallen angel tumevikwa miili na kufutwa memory but we are very powerful jesus alikuja kutustua tulipokuwa we are devine roho zetu zipo tu hazina end Dunia yenyewe ipo hewani mean we are already in heaven now and there is no such thing called hell its just fabricate watu wa dini tusiwaze kurejea kwenye our powerfull. Jesus said tupambane tunaweza hamisha hata mlima from one place to another.. Just think about..
 
Muslim ana land wapi? Syria - Was Christian Country,Iraq Was Majority Christians japo dini nyingi ndipo alipoenda Yonah akamezwa na Samaki, Lebanon Christian Country Medina was Jews Province, Yemen too was Christian and Jews Egypt was Christian Coptic Country n,k Islam wavamizi wameharibu kote tena walikuwa wanafanya Genocide kuhakikisha wana clean Dini zingine... So Muslim is a terrorist cult with prove kama zote
Udini unakusumbua mpaka
Eti kote walikuwa wakristo
Kabla ya dini hizi kilikuwa na wanyama eti
Hivi
Muslim ana land wapi? Syria - Was Christian Country,Iraq Was Majority Christians japo dini nyingi ndipo alipoenda Yonah akamezwa na Samaki, Lebanon Christian Country Medina was Jews Province, Yemen too was Christian and Jews Egypt was Christian Coptic Country n,k Islam wavamizi wameharibu kote tena walikuwa wanafanya Genocide kuhakikisha wana clean Dini zingine... So Muslim is a terrorist cult with prove kama zote
Una qoute tofauti na nilichoweka
 
Kuna kitu watu hawajui Ireland 🇮🇪 kaskazini na kusini ilikuwa katika virugu kubwa uingeleza walles miripuko ikazidi wawaita Ireland ni nchi ya magaidi lakini walikuwa wanadai haki yao mwisho wazungu wakaona aibu wazungu wenzao wanauana wakaingilia kati zikawa Ireland mbili
 
Back
Top Bottom