Kwanini Mnaita Hezbullah, Hamas kuwa ni Magaidi?

Kwanini Mnaita Hezbullah, Hamas kuwa ni Magaidi?

Nimekuwa nikiona baadhi ya wanaJamiiForums wakiita hayo makundi ya wanamgambo kuwa ni magaidi, je wale ni mgaidi kweli?Je wanapigana kwa sababu gani? Na kwanini wanaipigania Palestina?

Je katika makundi hayo yalishawai kushanbulia nchi yoyote zaidi ya Israel? Kama hakuna kwanini waitwe magaidi? Nadhani hili natazama wa ulaya magharibi uko Tazama kwa umakini haya ni makundi yanayotetea uhuru wa Palestine 🇵🇸 na wanachukia ukandamizaji kimsingi Israel ndiyo Saidi mashariki ya kati! Tuambie wewe unaonaje haya makundi?
Tuanze kwa definition ya gaidi?

Ugaidi ni nini?
 
Nimekuwa nikiona baadhi ya wanaJamiiForums wakiita hayo makundi ya wanamgambo kuwa ni magaidi, je wale ni mgaidi kweli?Je wanapigana kwa sababu gani? Na kwanini wanaipigania Palestina?

Je katika makundi hayo yalishawai kushanbulia nchi yoyote zaidi ya Israel? Kama hakuna kwanini waitwe magaidi? Nadhani hili natazama wa ulaya magharibi uko Tazama kwa umakini haya ni makundi yanayotetea uhuru wa Palestine 🇵🇸 na wanachukia ukandamizaji kimsingi Israel ndiyo Saidi mashariki ya kati! Tuambie wewe unaonaje haya makundi?
Mtanznania akisikia mareknani akimwita mtu gaidi na yeye anaimba Wimbo huo huo
 
Ndio utashangaa sana, hizo ni media za West ambazo nyinyi kama sio zote zinakuwa influenced na Israel.

Infact gaidi namba moja duniani ni Israel na USA. Sio mimi ni huyu former US soldier anasema msikilize hapa chini


View: https://youtu.be/uaO2m9hpBLI?si=JUIW_Yk_4YbGRITl

Wala sishangai nimekaa na kuishi nao miaka zaidi ya 40
Na ME nimekaa sana
Kwa hiyo hakuna la kushangaa hapo
Hawa wazungu wametesa jamii nyingi sana kwa maslahi yao
 
Hamas, Hezbollah, alkaeda, Islamic jihad, Isis, boko haram, yote hayo ni makundi ya magaidi yenye mlengo wa kidini.
Tofauti yao ni Geographical location tu
 
wakati wa British Era kila mtu aliyekuwa ndani ya ilo eneo aliitwa Palestinian.
kulikuwa na Waarabu,Jews,Drews na Christians.
Palestine haikuwa Nchi wala Utaifa bali colonial entity.
Harakati za Utaifa wa Palestine zililetwa na Arafat.Waarabu waliokuwa wakiishi eneo ilo walikuwa birth certificate za Jordan,Misri,Syria.
 
Haswa tena wamevurugwa na kuvurugika
Wao kila wanaloambiwa wanafuata mkumbo tu
Picha zinajielezaView attachment 3118084
Muslim ana land wapi? Syria - Was Christian Country,Iraq Was Majority Christians japo dini nyingi ndipo alipoenda Yonah akamezwa na Samaki, Lebanon Christian Country Medina was Jews Province, Yemen too was Christian and Jews Egypt was Christian Coptic Country n,k Islam wavamizi wameharibu kote tena walikuwa wanafanya Genocide kuhakikisha wana clean Dini zingine... So Muslim is a terrorist cult with prove kama zote
 
Back
Top Bottom