Kwanini Mnaita Hezbullah, Hamas kuwa ni Magaidi?

Tuanze kwa definition ya gaidi?

Ugaidi ni nini?
 
Mtanznania akisikia mareknani akimwita mtu gaidi na yeye anaimba Wimbo huo huo
 
Wala sishangai nimekaa na kuishi nao miaka zaidi ya 40
Na ME nimekaa sana
Kwa hiyo hakuna la kushangaa hapo
Hawa wazungu wametesa jamii nyingi sana kwa maslahi yao
 
Hamas, Hezbollah, alkaeda, Islamic jihad, Isis, boko haram, yote hayo ni makundi ya magaidi yenye mlengo wa kidini.
Tofauti yao ni Geographical location tu
 
wakati wa British Era kila mtu aliyekuwa ndani ya ilo eneo aliitwa Palestinian.
kulikuwa na Waarabu,Jews,Drews na Christians.
Palestine haikuwa Nchi wala Utaifa bali colonial entity.
Harakati za Utaifa wa Palestine zililetwa na Arafat.Waarabu waliokuwa wakiishi eneo ilo walikuwa birth certificate za Jordan,Misri,Syria.
 
Kwasababu hayana akili yako radhi kuua mtu kwaajili ya mambo ya imani. Yaani yanatekeleza maagizo ya mpumbavu mmoja hivi aliye yadanganya kuwa yanafanya jihad akayaahidi kuyapa bikira 72.
Kama nyie mulivyo radhi kuoana jinsia moja kisa mamba kasema
 
Haswa tena wamevurugwa na kuvurugika
Wao kila wanaloambiwa wanafuata mkumbo tu
Picha zinajielezaView attachment 3118084
Muslim ana land wapi? Syria - Was Christian Country,Iraq Was Majority Christians japo dini nyingi ndipo alipoenda Yonah akamezwa na Samaki, Lebanon Christian Country Medina was Jews Province, Yemen too was Christian and Jews Egypt was Christian Coptic Country n,k Islam wavamizi wameharibu kote tena walikuwa wanafanya Genocide kuhakikisha wana clean Dini zingine... So Muslim is a terrorist cult with prove kama zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…