Kwanini Mnaita Hezbullah, Hamas kuwa ni Magaidi?

Kwani ni uongo? Mandela was a terrorist hadi kesi yake ni ugaidi... hata Tanzania Tuliwahifadhi magaidi wa South Africa na Msumbuji na kwapa silaha same anavyofanya Iran... Aluta Continua. Shetani pia alikuwa Gaidi Mbinguni theluthi Moja aliwashawishi kuasi, as per anunaki Story human we are fallen angel tumevikwa miili na kufutwa memory but we are very powerful jesus alikuja kutustua tulipokuwa we are devine roho zetu zipo tu hazina end Dunia yenyewe ipo hewani mean we are already in heaven now and there is no such thing called hell its just fabricate watu wa dini tusiwaze kurejea kwenye our powerfull. Jesus said tupambane tunaweza hamisha hata mlima from one place to another.. Just think about..
 
Udini unakusumbua mpaka
Eti kote walikuwa wakristo
Kabla ya dini hizi kilikuwa na wanyama eti
Hivi
Una qoute tofauti na nilichoweka
 
Kuna kitu watu hawajui Ireland 🇮🇪 kaskazini na kusini ilikuwa katika virugu kubwa uingeleza walles miripuko ikazidi wawaita Ireland ni nchi ya magaidi lakini walikuwa wanadai haki yao mwisho wazungu wakaona aibu wazungu wenzao wanauana wakaingilia kati zikawa Ireland mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…