Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
Inakuwaje? Mbona pale mahakamani ambako ndo Sheria inasimamiwa/inatekelezwa naona Mahabusu, Mapolisi au Askari Magereza picha zinapigwa/wanapigwa na zinarushwa kwenye mitandao?Ni kinyume cha sheria kumpiga mtu picha bila ridhaa yake! Labda kama kasogea kwenye eneo binafsi la nyumba ya mtu! Lakini mtu anapita njani au barabarani makamera yanapiga picha tutakuja kuzivunja hizo camera kwa mawe ya manati!
We ni bambo ? Mambo ya seto😂Duh kweli wabongo wengi vilaza!! Hizo ni taa za sensor ambazo ikisense kitu inaongeza mwanga!! Hata nyumbani kwangu nimezifunga,, seto moja inauzwa laki na themanini
Cc : ephen_
Mtusamehe tu ni ajira mpya ya kisasa. You tube vlog inalazimisha kupiga picha.Unapita mtaani usiku mida ya saa2au sa4 usiku ghafla kamera inatowa mwanga mkali kumbe kamera inatupiga picha si poa. Yani tunarudi kwetumakamera yenu yanatuphotowa jamani!!!!.