Kwanini mnatupiga picha bila ridhaa yetu?

Kwanini mnatupiga picha bila ridhaa yetu?

Duh kweli wabongo wengi vilaza!! Hizo ni taa za sensor ambazo ikisense kitu inaongeza mwanga!! Hata nyumbani kwangu nimezifunga,, seto moja inauzwa laki na themanini
Cc : ephen_
Sasa ushamba uko wapi hapo, wewe ulizaliwa unajua kila kitu? au tuseme ktk ulimwengu huu unajua kila kitu? acha ushamba mkuu!
 
Duh kweli wabongo wengi vilaza!! Hizo ni taa za sensor ambazo ikisense kitu inaongeza mwanga!! Hata nyumbani kwangu nimezifunga,, seto moja inauzwa laki na themanini
Cc : ephen_
e48cf8504295a355cb61b0993a65f09a.gif
 
Unataka nikufundishe namna yakuivuka hiyo taa na isiwake?, au basi maana kuna wahuni watatumia ujuzi kufanya uhalifu wao.
 
Sasa ushamba uko wapi hapo, wewe ulizaliwa unajua kila kitu? au tuseme ktk ulimwengu huu unajua kila kitu? acha ushamba mkuu!
We kubali tu kwamba WEWE NI MSHAMBA!!! unaelekezwa unajifanya kuja na POVU, huko tandahima hizi taa hamna hata nikikuelekeza nitakua napoteza muda!!! Wewe akili yako zinaishia kwenye mashamba ya magimbi..
Cc : ephen_
 
Back
Top Bottom