The useful idiot
JF-Expert Member
- Jul 14, 2024
- 1,019
- 2,670
Wewe ni mkosa rinder?? Mambo ya kufumuliwaWe ni bambo ? Mambo ya seto😂
Hiyo ni taa tu usijali waondoe hofu wasukuma wenzako mtazoea taratibu
Sasa ushamba uko wapi hapo, wewe ulizaliwa unajua kila kitu? au tuseme ktk ulimwengu huu unajua kila kitu? acha ushamba mkuu!Duh kweli wabongo wengi vilaza!! Hizo ni taa za sensor ambazo ikisense kitu inaongeza mwanga!! Hata nyumbani kwangu nimezifunga,, seto moja inauzwa laki na themanini
Cc : ephen_
Nampendaga sana comment zako 🤣🤣Pole sana mkuu
Naunga mkono hojaHiyo ni taa tu usijali waondoe hofu wasukuma wenzako mtazoea taratibu
Karibu sana mkuu.. ufanye unitunuku sasa 🙄😁Nampendaga sana comment zako 🤣🤣
Mbona umeishajijibu?Inakuwaje? Mbona pale mahakamani ambako ndo Sheria inasimamiwa/inatekelezwa naona Mahabusu, Mapolisi au Askari Magereza picha zinapigwa/wanapigwa na zinarushwa kwenye mitandao?
Karibu sana mkuu.. ufanye unitunuku sasa 🙄😁
😀😀😀😀😀😀😀Mmmh Yani from no where mtu akupige picha tena usiku, ukiona hivo Kuna jambo
We kubali tu kwamba WEWE NI MSHAMBA!!! unaelekezwa unajifanya kuja na POVU, huko tandahima hizi taa hamna hata nikikuelekeza nitakua napoteza muda!!! Wewe akili yako zinaishia kwenye mashamba ya magimbi..Sasa ushamba uko wapi hapo, wewe ulizaliwa unajua kila kitu? au tuseme ktk ulimwengu huu unajua kila kitu? acha ushamba mkuu!
Nadhani wamechanganya, kwao kila mwanga mkali ni camera na msimu wa mvua huenda watalalamika ni radiNi camera? au unachanganya na taa ambazo zikisense uwepo wa mtu zinawaka.
Kwa kiswahili tafadhali.Privacy to pass is compromised contrary to the law of the land!
Oya kuwa siriazNadhani wamechanganya, kwao kila mwanga mkali ni camera na msimu wa mvua huenda watalalamika ni radi
Kamera ndgNadhani wamechanganya, kwao kila mwanga mkali ni camera na msimu wa mvua huenda watalalamika ni radi