Kwanini mnawahukumu mno single mothers?

Tunaskia baba mwenye mtoto anytime akiamua kupasha kiporo hawakatai ata wakiwemo kwenye ndoa hii imekaaje
 
TUNASEMA TABIA ZAO SIO WAO
 
Wanachepuka sana ila tunawaongea wao coz wimbi la single mom limeongezeka kitaa, tunachotaka tuwarekebishe baadhi yao waliokua hawajatulia
Yamkini ongezeko la single mothers ni matokeo ya kupungua kwa matukio ya utoaji mimba. Sasa yupi bora single mother au 'mama marehemu'?

Kuwaandama single mothers tu hakutatosha kumaliza tatizo katika jamii zetu bali kuna haja ya kuwalea watoto katika maadili mema ili kudhibiti wasije wakajiingiza katika uzinzi wangali wadogo.
 
Hatujawaandama ila tunarekebishana
 
Hilo nalo neno!
Mkuu mi nime notice kitu, hapa single mother anaesemewa ni yule wa tandale kwa mtogole au kinyantila ambae either ni mchuuzi wa kijasiriamali au yule ambae hata kitunguu kununua ni mahesabu makali..."total dependant".

Single mother wenye mapesa huwezi sikia wanapiga ndulu za namna hii. Wako sooo relaxed na hawana kinyongo na mtu.

Ni hizi chloroquine zetu kitaa ambazo hata bundle mpaka iungwe ndio zinaleta fujo dunia nzima.
 
Once a man always a man. Therefore, regarding your discourse, I hereby precisely and boldly say that WOMEN ARE DESERVED TO BE BLAMED as they are the root of all evils in the world.
 
Uliwahi kuona single mother mwenye pesa nyingi anahukumiwa?!
Mchawi pesa tu. Jamii maskini ina hukumu vibaya kila kitu.
Hao ni wangapi katika jamii yetu ukipiga mahesabu ya haraka haraka?

Hahukumiwi kwasababu anajitegemea lakini wanaoathirika na kudhurika zaidi ni watu wa kawaida na wanaotokea kwenye familia duni!
 
Single mothers
Ni makatili sana
Wamejawa Stress na hasira.
Wanyooke tu .
 
Hao ni wangapi katika jamii yetu ukipiga mahesabu ya haraka haraka?

Hahukumiwi kwasababu anajitegemea lakini wanaoathirika na kudhurika zaidi ni watu wa kawaida na wanaotokea kwenye familia duni!
Basi tatueni tatizo la umaskini kwanza ili msihukumiwe.
That will save you all.
 
Jamani single mothers walioajiriwa nimekoma nao, hawa wahuni utadhani majini ya kujengea ghorofa kariakoo.

Mimi hawa wadudu hapana kwa kweli shida zenu mpelekeeni waziri wa fedha.

Ni hayo tu

Wadiz
 
single mother mmoja asifanye wote wawe hawafai, wapo wengi wazuri tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…