Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,683
- Thread starter
-
- #41
Sijachanganganyikiwa!najibu kutokana na unavyoongea!Kama dunia ni ya mwanaume basi kusingeumbwa mwanamke!Acha kujitoa fahamu!Kama hayakuhusu, uliposema nilipooa ulikuwa unazungumzia nini au umechanganyikiwa?
Ale matunda yake wakati miti ipo mingi?
Mwanaume anauwezo wa kukuoa wewe na wenzako mia hivi, unadhani ukiolewa wewe wenzako wataolewa na nani?
Ukileta ujeuri unawekwa pembeni, ukikataa kuwa mke mwenza unawekwa pembeni, hujaumbwa kutushauri au kutupangia cha kufanya.
hujui dunia ni yamwanaume?
Wewe umeletwa kumsaidia tuu mwanaume, hivyo mwanaume anaweza akakubadilisha wewe akikuona hamnazo, ndio maana kuna talaka
Sio mbegu zako unazopandikiza?Naona wewe ndio hunielewi!Mwanaume hazai, anazalisha, mkuu mbona kama huelewi mambo mengi.
Kuzaa sio kigezo cha kuolewa au kubaki ndoani, ndoa inahitaki mke mwema. Sio mashine ya kuzalisha watoto duniani
Sijachanganganyikiwa!najibu kutokana na unavyoongea!Kama dunia ni ya mwanaume basi kusingeumbwa mwanamke!Acha kujitoa fahamu!
Sio mbegu zako unazopandikiza?Naona wewe ndio hunielewi!
Ngoja lije limkute mwanao wa kumzaa utasoma number!!Hujui what goes around comes around!Nakazia mada single mother ni kuchapa na kulala mbele
Mwanamme kutongoza ndio asili yake,ila MAAMUZI UNAYO WEWE.Na nyie lazima mtongoze si ni watu na akili zenu fungeni suruali zenu.Ni nyie mtie watu mimba ikisha muwaite malaya this is insanity π€¨
Single mother aliyezaa na mwanamme wa mtu huku akijua hastahili huruma,kwani kayataka mwenyewe.
Wengine hao tunaweza kuwa onea hurumia,kwani SOMETIMES sisi wanaume tumekuwa waoga wa kubeba majukumu,kazi yetu kubwa ni kuonyesha ubunifu kitandani.Lakini kutunza kile kitokacho na ubunifu wetu tunaogopa.
Hakuna haja ya kulalamika, wewe jua tu, ukishakuwa single mother basi wewe ni mtumba (second handed woman, used), umeshatumika vibaya kingono, grade yako kimapenzi imeshashuka mnoo na 'mjane fulani' hivi wa mapemaKheri ya pasaka waungwana!
Ningeanza na kusema kwenye kila jambo kuna pande mbili za shillingi.
Katika pitapita zangu nyingi nimegundua kuna uzi nyingi katika jukwaa hili la MMU zinazowakandamiza na kuwaponda single mothers! Mnasahau kama hao walowatia mimba single mothers nao ni single fathers?
Nakubali katika maisha kuna kukosa na kukosoana lakini ningependa tuwekane sawa katika hili,haimaanishi kwasababu BAADHI ya single mothers hawana msimamo na vigeugeu basi wote wapo hivo.
Na kingine kama mtu ni single mum lazima uelewe kuna sababu ilopelekea hilo sidhani kama kuna mtu anaependa kulea mtoto peke yake bila ya sababu ya msingi.Au ukiachilia mbali hilo kuna baadhi wanaoamua kulea mwenyewe kwasababu the other part is not the right father figure for their child!Naamini si kila anayeweza kumimbisha mtu anapaswa kuwa baba!
Ningependa tuwekane sawa kuwa kuna single mother wa aina nyingi:
1. Kuna wadada wengi wanaoamua kujizalia tu kwasababu hakuna wanaume wanaoeleweka ambao wanakidhi viwango vyao na umri umeshatupa mkono mtu anaona ajizalie tu apate mrithi,wa aina hii naamini wanaweza kujimudu na kuhudumia watoto wao bila msaada wa mtu na ni watu wanaojielewa.
2. Kuna walopewa mimba ambazo wawili hao walikubaliana kuzaa pamoja na wakatengana kwasababu tofauti.Hawa mara nyingi wapo mguu ndani,mguu nje kwasababu kulikuwa na mapenzi na makubaliano kati yao kwahio ni rahisi kukumbushiana
3. Kuna walobeba ujauzito kibahati mbaya na mwanaume hayupo tayari kubeba majukumu.Wanawake wa kundi hili hawatakagi mahusiano na maex zao kiujumla kwasababu wanakuwa wameumizwa vyakutosha na wakishasonga mbele wamesonga.
4. Kuna walojibebesha mimba kwa matumaini ya kuolewa au kupata mwenza wa maisha au mteremko wa maisha(hawa ni wale ambao wanazaa hata na wanaume za watu).Hawa ni kundi jingine ambalo pia ni mguu ndani,mguu nje yaani anytime anarudiwa na kuachwa madhali yake yanamuendea.
But all in all mwishoni mwa siku kuna mwanaume alihusika katika hili kwa njia moja au nyingine.Kama ni kinga wanapaswa kutumia wote kujikinga na ujauzito usotarajiwa sasa ikiwa wewe unaenda kulala na mwanamke ambaye huna future nae kila kinga yoyote(kondom au uzazi wa mpango) unategemea nini hasa?
Tusihukumu single mothers kama wakosaji ni wao tu na wanaume ndo malaika mbona hamwahukumu single fathers?Au mnataka kusema wao ni tofauti kwasababu hawajabeba ujauzito.
Mtoto siku zote ni wamama ndio maana wamama ndio wanapata jukumu la kulea lakini tukipiga tathimini ya wanaume au ambao wamezaa tu ni single fathers naamini imepiku idadi ya wanawake.
Single fathers pia wanaweza kwenda kwa ex zao na kubinjuana so hakuna tofauti ya kusema ni single mothers tu sio Wife material kwasababu mnahofia wataliwa.Then tunaweza kusema Single fathers nao sio Husband material.This goes both ways kwa jinsia zote.
La muhimu ni kujuana vyema huyo single mum/ dad kabla ya kuanzisha mahusiano naye na mahusiano alokuwa nayo na ex wake lakini sio kuhukumiana!
Kwanini unatukana?Umeishiwa na maneno ya kuongea ama?ndo ujione kati yangu mimi na ww nani hana ufahamu na mdomo wako mchafu na sio ufahamu tu hata ustaarabu na busara huna.Hao single mothers wanaweza kuwa mama zako,dada zako na kuendelea limekugusa ehhh la mwanao!!Na litakukuta utanikumbuka!Mark my words we endelea tu kuchafua na kutumia wanawake!Kwa akili zao za memkwa ndio unaamini hivyo!alikutuma nani uwe single mother bitch uliokosa utamu wewe [emoji28]
Sijalalamika nimesema ukweli acheni kukandamiza wanawake watu wengine wamezaliwa na kulelewa na single mothers!Kama mtu akiwa amezaa ametumika hao walozaa kwenye ndoa hawajatumika?Hakuna haja ya kulalamika, wewe jua tu, ukishakuwa single mother basi wewe ni mtumba (second handed woman, used), umeshatumika vibaya kingono, grade yako kimapenzi imeshashuka mnoo na 'mjane fulani' hivi wa mapema
Sasa kuhusu ni single mother yupi anajitambua, hilo ni suala lingine tofauti lenye kuitaji mada yake.
Aisee huu uzi ni hatari sana ngoja ni sabusilaibu kabisa
uolewe ila iwe umefanya umalaya weee,umetoa mimba kibao, ila status yako iko juu kushinda mtu ambae amezaa...wanaume wengi hawana akili kutumia simple logic tuu..
π π π π π
Alafu hao hao wasio na akili ndio wamezama pangoni pako, hii dunia hii
Shika adabu yako,kama unaweza jibu hoja sio kumattack mtu mpuuzi usiyejitambua
Haisaidii chochote ukweli ndio huo, na unawajua kwa namba na kwa majina,
Kama vile mkeo anavyowajua wake!