Kwanini mnawahukumu mno single mothers?

Kwanini mnawahukumu mno single mothers?

Hivi mtu anahonga pesa za mamilioni ili apewe tu mchezo, akiambiwa akajitambulishe na kufuata taratibu ili apewe mwanamke ambaye hajawahi kuguswa na mwanaume yoyote unadhani hiyo kwake itakuwa ni raha ya aina gani?!

Kwa namna unaongea ni as if mtoto wa kike ni boya na hana akili kama nyumbu. Hivi wewe na akili zako, hata misemo inasema kila uchao, kuwa mume wa mtu ni sumu unadhani wanamaanisha ni sumu ya panya.....?!

Mtoto wa kike akipewa elimu ya kulinda utu wake na kujua namna ya kupata mwenza sahihi huu upumbavu wa kuwa single mother utaisha.....

Nyie mliwafundisha kusema NO kukataa wanaume wakawa wanakataa hata wale ambao MUNGU amewaletea.....

Mlitakiwa kuwafunxa kusema NO ya kukataa kutumika kama bidhaa inayotakiwa kuwaniwa sokoni.....

Leo binti ukimfuata kistaarabu dada habari naomba kuzungumza nawe anakubalasa..... Ukitafuta namba yake kumuomba ridhaa ya kuja kwao ujitambulishe maringo kibao.

Akitokea bishoo au mume wa mtu na Crown anamng'oa kilaini na anaenda kumla siku hiyo hiyo.....

So don't tell this nonsense kuwa mabinti hawajui kuwa wanatumika au wanaingia pabaya...... Wanafahamu na wanaweza jizuia...... Tatizo tamaa za kipumbavu na kutaka wepesi wa maisha kisa tu ana sura nzuri, ana muaonekano mzuri, anatako, ana miguu mizuri na kadhalika.
Kwanini kila unachosema ni wanawake tu?sijaona sehemu ulogusia ukasema mwanaume ajicontrol?
 
Ngoja lije limkute mwanao wa kumzaa utasoma number!!Hujui what goes around comes around!
Ukitrace kwa miaka hii ya kuanzia 1990's kuja leo utagundua mabinti wengi wanaingia kuwa single mothers sio kwa kusababishiwa bali ni trend wanatengeneza kwa maamuzi yao binafsi.

Nina rafiki yangu, kwao wapo saba.... Wa mwisho ni wakike..... Na wa pili na watatu ni wa kike pia.... Wengine wote ni wanaume....

Dada na kaka zake wote wamefunga ndoa vizuri na wanahudumia familia zao sasa....

Balaaa lipo kwa huyu sasa binti mdogo, amesomeshwa vizuri, familia inamjali hana hata shida nyumbani kwao ni wa mwisho akina kaka na dada na wazazi wanampa sapport zote za upendo, ushauri na kifedha.

Amemaliza chuo vizuri, alipotafutiwa kazi.... Akazaa na supervisor wake wa kazi ambae ni mume wa mtu.....

Hivi hapo utasema huyu binti asilaumiwe....?!
 
Yeah kwa kufuata mitazamo ya kimagharibu na sera zao za kusapoti kila kitu hadi homosexuality nitasema upo okay.

Ila kwa mila za kiafrika hiyo kitu ni hapana. Hatuwezi toa pongezi katika maisha ambayo ni matokeo ya maamuzi ya kufuata mihemko ya uzinzi na uzembe kimaamuzi.

Sidhani kama utataka binti yako aishi maisha ya kuelekea kuwa single mother. Na hapa ndipo huwa nakorofishana sana na watu wanao sympathize na any form of failure ili tu kujisikia vizuri kihisia.

Masingle mazas wapo karne na karne,hata uimpose rules/sheria kali namna gani watakuwepo tu....

AND,yes tuwapongeze kwa ujasiri wao, despite being in the society full of hate and discimination wameweza kuwa Courageous kuchukua such responsibility...

By the way kutokuzaa sio ndio kipimo cha usichana....

Unaweza ukawa msichana hujawahi kuwa na mtoto,kwa nje, lakini ume'ua' watoto zaidi ya watano.....

Mheshimu yule anaye heshimu uhai.....

Pendekezeni njia wholly itakayowafanya vijana wasiingie kwenye ngono na wakiingia wachukue njia za kujikinga,mimba na maradhi....
 
Kheri ya pasaka waungwana!

Ningeanza na kusema kwenye kila jambo kuna pande mbili za shillingi.

Katika pitapita zangu nyingi nimegundua kuna uzi nyingi katika jukwaa hili la MMU zinazowakandamiza na kuwaponda single mothers! Mnasahau kama hao walowatia mimba single mothers nao ni single fathers?
Nakubali katika maisha kuna kukosa na kukosoana lakini ningependa tuwekane sawa katika hili,haimaanishi kwasababu BAADHI ya single mothers hawana msimamo na vigeugeu basi wote wapo hivo.
Na kingine kama mtu ni single mum lazima uelewe kuna sababu ilopelekea hilo sidhani kama kuna mtu anaependa kulea mtoto peke yake bila ya sababu ya msingi.Au ukiachilia mbali hilo kuna baadhi wanaoamua kulea mwenyewe kwasababu the other part is not the right father figure for their child!Naamini si kila anayeweza kumimbisha mtu anapaswa kuwa baba!

Ningependa tuwekane sawa kuwa kuna single mother wa aina nyingi:

1. Kuna wadada wengi wanaoamua kujizalia tu kwasababu hakuna wanaume wanaoeleweka ambao wanakidhi viwango vyao na umri umeshatupa mkono mtu anaona ajizalie tu apate mrithi,wa aina hii naamini wanaweza kujimudu na kuhudumia watoto wao bila msaada wa mtu na ni watu wanaojielewa.

2. Kuna walopewa mimba ambazo wawili hao walikubaliana kuzaa pamoja na wakatengana kwasababu tofauti.Hawa mara nyingi wapo mguu ndani,mguu nje kwasababu kulikuwa na mapenzi na makubaliano kati yao kwahio ni rahisi kukumbushiana

3. Kuna walobeba ujauzito kibahati mbaya na mwanaume hayupo tayari kubeba majukumu.Wanawake wa kundi hili hawatakagi mahusiano na maex zao kiujumla kwasababu wanakuwa wameumizwa vyakutosha na wakishasonga mbele wamesonga.

4. Kuna walojibebesha mimba kwa matumaini ya kuolewa au kupata mwenza wa maisha au mteremko wa maisha(hawa ni wale ambao wanazaa hata na wanaume za watu).Hawa ni kundi jingine ambalo pia ni mguu ndani,mguu nje yaani anytime anarudiwa na kuachwa madhali yake yanamuendea.

But all in all mwishoni mwa siku kuna mwanaume alihusika katika hili kwa njia moja au nyingine.Kama ni kinga wanapaswa kutumia wote kujikinga na ujauzito usotarajiwa sasa ikiwa wewe unaenda kulala na mwanamke ambaye huna future nae kila kinga yoyote(kondom au uzazi wa mpango) unategemea nini hasa?

Tusihukumu single mothers kama wakosaji ni wao tu na wanaume ndo malaika mbona hamwahukumu single fathers?Au mnataka kusema wao ni tofauti kwasababu hawajabeba ujauzito.
Mtoto siku zote ni wamama ndio maana wamama ndio wanapata jukumu la kulea lakini tukipiga tathimini ya wanaume au ambao wamezaa tu ni single fathers naamini imepiku idadi ya wanawake.
Single fathers pia wanaweza kwenda kwa ex zao na kubinjuana so hakuna tofauti ya kusema ni single mothers tu sio Wife material kwasababu mnahofia wataliwa.Then tunaweza kusema Single fathers nao sio Husband material.This goes both ways kwa jinsia zote.

La muhimu ni kujuana vyema huyo single mum/ dad kabla ya kuanzisha mahusiano naye na mahusiano alokuwa nayo na ex wake lakini sio kuhukumiana!
Tatizo single mothers wengi huwa hawaeleweki kirahisi.sababu wakati mwingine atakwambia huyu mtoto baba yake tulichana naye,lakini bado kuna mawasiliano yale ya kumlea mtoto yanaendelea,siku nyingine wanakutana physically mahali pa utulivu
 
Ukitrace kwa miaka hii ya kuanzia 1990's kuja leo utagundua mabinti wengi wanaingia kuwa single mothers sio kwa kusababishiwa bali ni trend wanatengeneza kwa maamuzi yao binafsi.

Nina rafiki yangu, kwao wapo saba.... Wa mwisho ni wakike..... Na wa pili na watatu ni wa kike pia.... Wengine wote ni wanaume....

Dada na kaka zake wote wamefunga ndoa vizuri na wanahudumia familia zao sasa....

Balaaa lipo kwa huyu sasa binti mdogo, amesomeshwa vizuri, familia inamjali hana hata shida nyumbani kwao ni wa mwisho akina kaka na dada na wazazi wanampa sapport zote za upendo, ushauri na kifedha.

Amemaliza chuo vizuri, alipotafutiwa kazi.... Akazaa na supervisor wake wa kazi ambae ni mume wa mtu.....

Hivi hapo utasema huyu binti asilaumiwe....?!
Ndio maana nikataja makundi tofauti usiwaunganishe wanawake wote kwa tamaa za wachache!
 
Kwanini unatukana?Umeishiwa na maneno ya kuongea ama?ndo ujione kati yangu mimi na ww nani hana ufahamu na mdomo wako mchafu na sio ufahamu tu hata ustaarabu na busara huna.Hao single mothers wanaweza kuwa mama zako,dada zako na kuendelea limekugusa ehhh la mwanao!!Na litakukuta utanikumbuka!Mark my words we endelea tu kuchafua na kutumia wanawake!
Sasa hapo unamkosea mwenzako, unapomuombea majanga kwa familia yake it means unamuombea apatwe na shida mtoto wa kike na wanawake wenzako wapatwe na hicho ulichokianzishia uzi......

Huu sio uungwana dear.
 
Kumbe WaTz wanachukia single mothers? Thought it was a Kenyan thing. Afadhali sisi.
 
Sijalalamika nimesema ukweli acheni kukandamiza wanawake watu wengine wamezaliwa na kulelewa na single mothers!Kama mtu akiwa amezaa ametumika hao walozaa kwenye ndoa hawajatumika?
Wanawake wa tz inabidi muache victim mentality na kuanza kuwa responsible.

Actually ninyi ndio mnaowakandamizia wanajamii kwa kutokuwa serious na maamuzi yenu.

Mimi nina shangazi yangu analea watoto wa mabinti zake watatu na nina msaidia kulipa karo za shule muda mwingine, mimi pamoja na ndugu zangu wengine....

Sasa unasemaje kuwa single mothers wanakandamizwa na sio kuwa wao ndio wanakandamiza......
 
Sasa hapo unamkosea mwenzako, unapomuombea majanga kwa familia yake it means unamuombea apatwe na shida mtoto wa kike na wanawake wenzako wapatwe na hicho ulichokianzishia uzi......

Huu sio uungwana dear.
Lazima kila mtu achunge kauli yake kama unaongea kistaarabu nitajibu kistaarabu na kama unaongea utumbo unategemea nini? nidhihakiwe kwa kuleta hoja tujadiliane?Excuse me please!
 
Kheri ya pasaka waungwana!

Ningeanza na kusema kwenye kila jambo kuna pande mbili za shillingi.

Katika pitapita zangu nyingi nimegundua kuna uzi nyingi katika jukwaa hili la MMU zinazowakandamiza na kuwaponda single mothers! Mnasahau kama hao walowatia mimba single mothers nao ni single fathers?
Nakubali katika maisha kuna kukosa na kukosoana lakini ningependa tuwekane sawa katika hili,haimaanishi kwasababu BAADHI ya single mothers hawana msimamo na vigeugeu basi wote wapo hivo.
Na kingine kama mtu ni single mum lazima uelewe kuna sababu ilopelekea hilo sidhani kama kuna mtu anaependa kulea mtoto peke yake bila ya sababu ya msingi.Au ukiachilia mbali hilo kuna baadhi wanaoamua kulea mwenyewe kwasababu the other part is not the right father figure for their child!Naamini si kila anayeweza kumimbisha mtu anapaswa kuwa baba!

Ningependa tuwekane sawa kuwa kuna single mother wa aina nyingi:

1. Kuna wadada wengi wanaoamua kujizalia tu kwasababu hakuna wanaume wanaoeleweka ambao wanakidhi viwango vyao na umri umeshatupa mkono mtu anaona ajizalie tu apate mrithi,wa aina hii naamini wanaweza kujimudu na kuhudumia watoto wao bila msaada wa mtu na ni watu wanaojielewa.

2. Kuna walopewa mimba ambazo wawili hao walikubaliana kuzaa pamoja na wakatengana kwasababu tofauti.Hawa mara nyingi wapo mguu ndani,mguu nje kwasababu kulikuwa na mapenzi na makubaliano kati yao kwahio ni rahisi kukumbushiana

3. Kuna walobeba ujauzito kibahati mbaya na mwanaume hayupo tayari kubeba majukumu.Wanawake wa kundi hili hawatakagi mahusiano na maex zao kiujumla kwasababu wanakuwa wameumizwa vyakutosha na wakishasonga mbele wamesonga.

4. Kuna walojibebesha mimba kwa matumaini ya kuolewa au kupata mwenza wa maisha au mteremko wa maisha(hawa ni wale ambao wanazaa hata na wanaume za watu).Hawa ni kundi jingine ambalo pia ni mguu ndani,mguu nje yaani anytime anarudiwa na kuachwa madhali yake yanamuendea.

But all in all mwishoni mwa siku kuna mwanaume alihusika katika hili kwa njia moja au nyingine.Kama ni kinga wanapaswa kutumia wote kujikinga na ujauzito usotarajiwa sasa ikiwa wewe unaenda kulala na mwanamke ambaye huna future nae kila kinga yoyote(kondom au uzazi wa mpango) unategemea nini hasa?

Tusihukumu single mothers kama wakosaji ni wao tu na wanaume ndo malaika mbona hamwahukumu single fathers?Au mnataka kusema wao ni tofauti kwasababu hawajabeba ujauzito.
Mtoto siku zote ni wamama ndio maana wamama ndio wanapata jukumu la kulea lakini tukipiga tathimini ya wanaume au ambao wamezaa tu ni single fathers naamini imepiku idadi ya wanawake.
Single fathers pia wanaweza kwenda kwa ex zao na kubinjuana so hakuna tofauti ya kusema ni single mothers tu sio Wife material kwasababu mnahofia wataliwa.Then tunaweza kusema Single fathers nao sio Husband material.This goes both ways kwa jinsia zote.

La muhimu ni kujuana vyema huyo single mum/ dad kabla ya kuanzisha mahusiano naye na mahusiano alokuwa nayo na ex wake lakini sio kuhukumiana!
Hawa single mothers ni janga kubwa sana kwenye ili taifa nilikuwa sielewi mpaka yaliponifika kwa kifupi ni kama wameshakata tamaa kwenye swala zima la relationships wapo kuchukua chao na kusepa, nasema tena ni tatizo kwenye jamii especially ukute mchagga ndio kabsa utafikiri katumwa kuja kukusanya mapato uku mjini

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
uolewe ila iwe umefanya umalaya weee,umetoa mimba kibao, ila status yako iko juu kushinda mtu ambae amezaa...wanaume wengi hawana akili kutumia simple logic tuu..
Sio hawana akili Rebeca 83 my love...... Wanaume wanahoji jambo la msingi.

Wewe binafsi hapo nikuulize, ukiwa na binti yako wa damu, utataka amvulie chupi kijana au mwanaume ambaye hajaja mtolea mahari nyumbani hapo na ukamuoza kwa sherehe ukijua binti yako anaenda kuanza maisha kwa heshima ya kuwa na bikra yake na utu wake...

Mwanaume anaoa kwa pride kabisa anapojua binti ni bikra na hakuwahi kuingiliwa, trust me hata kama anamatatizo mengine watagombana tu ile ya kawaida, utii na usikivu na kujifunza kutamfanya huyu binti afanye maisha mazuri sana.

But ungekuwa mwanaume ungeelewa zaidi
 
Wanawake wa tz inabidi muache victim mentality na kuanza kuwa responsible.

Actually ninyi ndio mnaowakandamizia wanajamii kwa kutokuwa serious na maamuzi yenu.

Mimi nina shangazi yangu analea watoto wa mabinti zake watatu na nina msaidia kulipa karo za shule muda mwingine, mimi pamoja na ndugu zangu wengine....

Sasa unasemaje kuwa single mothers wanakandamizwa na sio kuwa wao ndio wanakandamiza.....
Hongera kwa kumsaidia shangazi yako katika malezi Mungu ndio atakulipa.Unafanya jambo la busara.
Ila hiki kitu kingekuwa kinakanywa kwa wanaume pia kusingekuwa na single mothers.
Sielewi kwanini jukumu zima la uzinzi kati ya mwanamke na mwanaume anabebeshwa mwanamke peke yake ikija kwenye matunda yake.Kama ni kuwekwa sawa wanapaswa kuwekwa sawa pande zote mbili kwasababu wote ni wakosaji.
 
Unaweza ukawa umemkuta bikira na bado akatiwa mimba na jirani yako na ukalea mtoto si wako.Usijione mjanja sana!
Hiyo ni rare sana kutokea na itategemea namna una mtreate....

Mwanamke kibailojia akitolewa bikra na mwanaume huwa anamuona huyo mwanaume ndie kila kitu hata iweje. Ila ukimtelekeza ndipo hofu humuingia na ataanza tafuta mwanaume mwingine ampe protection.
 
Kheri ya pasaka waungwana!

Ningeanza na kusema kwenye kila jambo kuna pande mbili za shillingi.

Katika pitapita zangu nyingi nimegundua kuna uzi nyingi katika jukwaa hili la MMU zinazowakandamiza na kuwaponda single mothers! Mnasahau kama hao walowatia mimba single mothers nao ni single fathers?
Nakubali katika maisha kuna kukosa na kukosoana lakini ningependa tuwekane sawa katika hili,haimaanishi kwasababu BAADHI ya single mothers hawana msimamo na vigeugeu basi wote wapo hivo.
Na kingine kama mtu ni single mum lazima uelewe kuna sababu ilopelekea hilo sidhani kama kuna mtu anaependa kulea mtoto peke yake bila ya sababu ya msingi.Au ukiachilia mbali hilo kuna baadhi wanaoamua kulea mwenyewe kwasababu the other part is not the right father figure for their child!Naamini si kila anayeweza kumimbisha mtu anapaswa kuwa baba!

Ningependa tuwekane sawa kuwa kuna single mother wa aina nyingi:

1. Kuna wadada wengi wanaoamua kujizalia tu kwasababu hakuna wanaume wanaoeleweka ambao wanakidhi viwango vyao na umri umeshatupa mkono mtu anaona ajizalie tu apate mrithi,wa aina hii naamini wanaweza kujimudu na kuhudumia watoto wao bila msaada wa mtu na ni watu wanaojielewa.

2. Kuna walopewa mimba ambazo wawili hao walikubaliana kuzaa pamoja na wakatengana kwasababu tofauti.Hawa mara nyingi wapo mguu ndani,mguu nje kwasababu kulikuwa na mapenzi na makubaliano kati yao kwahio ni rahisi kukumbushiana

3. Kuna walobeba ujauzito kibahati mbaya na mwanaume hayupo tayari kubeba majukumu.Wanawake wa kundi hili hawatakagi mahusiano na maex zao kiujumla kwasababu wanakuwa wameumizwa vyakutosha na wakishasonga mbele wamesonga.

4. Kuna walojibebesha mimba kwa matumaini ya kuolewa au kupata mwenza wa maisha au mteremko wa maisha(hawa ni wale ambao wanazaa hata na wanaume za watu).Hawa ni kundi jingine ambalo pia ni mguu ndani,mguu nje yaani anytime anarudiwa na kuachwa madhali yake yanamuendea.

But all in all mwishoni mwa siku kuna mwanaume alihusika katika hili kwa njia moja au nyingine.Kama ni kinga wanapaswa kutumia wote kujikinga na ujauzito usotarajiwa sasa ikiwa wewe unaenda kulala na mwanamke ambaye huna future nae kila kinga yoyote(kondom au uzazi wa mpango) unategemea nini hasa?

Tusihukumu single mothers kama wakosaji ni wao tu na wanaume ndo malaika mbona hamwahukumu single fathers?Au mnataka kusema wao ni tofauti kwasababu hawajabeba ujauzito.
Mtoto siku zote ni wamama ndio maana wamama ndio wanapata jukumu la kulea lakini tukipiga tathimini ya wanaume au ambao wamezaa tu ni single fathers naamini imepiku idadi ya wanawake.
Single fathers pia wanaweza kwenda kwa ex zao na kubinjuana so hakuna tofauti ya kusema ni single mothers tu sio Wife material kwasababu mnahofia wataliwa.Then tunaweza kusema Single fathers nao sio Husband material.This goes both ways kwa jinsia zote.

La muhimu ni kujuana vyema huyo single mum/ dad kabla ya kuanzisha mahusiano naye na mahusiano alokuwa nayo na ex wake lakini sio kuhukumiana!
Nukta zako nne zote za kuonyesha sababu za kuwepo hao single Mothers ni wao wanajitakia na kuonyesha kutojitambua na kupelekea kuwa kulaumiwa kwao ni jambo la lazima.

Cha msingi wabadilike tu.
 
Hiyo ni rare sana kutokea na itategemea namna una mtreate....

Mwanamke kibailojia akitolewa bikra na mwanaume huwa anamuona huyo mwanaume ndie kila kitu hata iweje. Ila ukimtelekeza ndipo hofu humuingia na ataanza tafuta mwanaume mwingine ampe protection.
Thubutu yako!!Tembea uone!
 
Nukta zako nne zote za kuonyesha sababu za kuwepo hao singke Mothers ni wao wanajitakia na kuonyesha kutojitambua na kupelekea kuwa kulaumiwa kwao ni jambo la lazima.

Cha msingi wabadilike tu.
Wanaume pia kubadilike acheni kumimbisha watu hovyo!
 
Eti sio kila mwenye uwezo wa kumimbisha mwanamke anafaa kuwa baba kwahiyo kilichokupeleka kubeba mimba kwa mwanaume asiyefaa ni nini km sio upuuzi wako

It goes both ways!!!! Kinachokuleta kutetea single mazas ni nini ????kwanini usitetee single fazA? Jibu ni simple,they are not victims.Sasa jiulize kwanini sio victim ukipata majibu ndo mbane mapaja yenu kwa faida yenu na maisha yenu.

Kwanini mwanaume asitumie kinga!!!!! Hajatumia sasa kakupa mimba kakutelekeza.Nani anateseka sasa mwanaume au wewe???
 
Eti sio kila mwenye uwezo wa kumimbisha mwanamke anafaa kuwa baba kwahiyo kilichokupeleka kubeba mimba kwa mwanaume asiyefaa ni nini km sio upuuzi wako

It goes both ways!!!! Kinachokuleta kutetea single mazas ni nini ????kwanini usitetee single fazA? Jibu ni simple,they are not victims.Sasa jiulize kwanini sio victim ukipata majibu ndo mbane mapaja yenu kwa faida yenu na maisha yenu.

Kwanini mwanaume asitumie kinga!!!!! Hajatumia sasa kakupa mimba kakutelekeza.Nani anateseka sasa mwanaume au wewe???
Kama mwanamke inanikera kuona wanawake wanatumiwa na kudhihakiwa juu wakati wahusika wengine wapo huru kuzidi kuvuruga.Hivi umeshaona hata uzi mmoja umeandikwa akidhihakiwa mwanaume kwasababu ni single father?Zaidi ya uzi kila kukicha akitukanwa single mother wakati mwanaume anahusika na hasemwi!!Sasa nimtetee kwa lipi wakati dhambi zote anapewa single mother?
 
You see na waowao wanawatia mimba hao single mothers!
Here in Kenya single motherhood is more acceptable now actually. Ladies are deciding to have children and bringing them up on their own. It is like fashion these days.
 
Back
Top Bottom