Masingle mazas wapo karne na karne,hata uimpose rules/sheria kali namna gani watakuwepo tu....
AND,yes tuwapongeze kwa ujasiri wao, despite being in the society full of hate and discimination wameweza kuwa Courageous kuchukua such responsibility...
By the way kutokuzaa sio ndio kipimo cha usichana....
Unaweza ukawa msichana hujawahi kuwa na mtoto,kwa nje, lakini ume'ua' watoto zaidi ya watano.....
Mheshimu yule anaye heshimu uhai.....
Pendekezeni njia wholly itakayowafanya vijana wasiingie kwenye ngono na wakiingia wachukue njia za kujikinga,mimba na maradhi....