RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Dogo kajiunga JF 2011?! Labda kama alijiunga akiwa na miaka 10.dogo unaendekeza sana mapenzi, ndio maana baba kakupa siku 30 uondoke
umegeuza room ya baba kua danguro
pumbaf, tafuta pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo kajiunga JF 2011?! Labda kama alijiunga akiwa na miaka 10.dogo unaendekeza sana mapenzi, ndio maana baba kakupa siku 30 uondoke
umegeuza room ya baba kua danguro
pumbaf, tafuta pesa
JF shikamoo[emoji119]Ushasepa home??
Msaada: Nimepewa siku 30 niondoke nyumbani kwa Baba mkubwa
Wana JF wenzangu, nilikuwa nimepanga maeneo ya Kimara miaka kadhaa iliyopita. Kutokana na changamoto ya maisha, kazi nilikuwa sina nikaenda kuishi kwa bamkubwa ili nijipange upya. Kwa sasa nimekaa miezi minne kwake leo asubuhi kaniambia “nimekupa siku 30 uondoke kwangu”. Wakuu naombeni msaada...www.jamiiforums.com
Huyu ameshazaa??
Kuna mdada nimempa mimba alafu maisha yangu hayaeleweki. Nifanye nini?
Wakuu kuna mdada Anadai ana mimba yangu mpaka sasa sijui nifanyeje maisha yangu yenyewe hayaeleweki sijui pakuanzia wala kumalizia. Na binti naye hana mpango wa kuchomoa ushauri ndugu zangu sijui ni nini cha kufanya msaada kwenu wa kuishauri ni hatua zipi sahihi za kuchukua kuanzia hivi sasa.www.jamiiforums.com
Vipi ushapata kibarua cha kuendesha maisha?
Kwa wale jobless wenzangu tusaidiane ni mbinu Gani unayotumia kujipatia kipato cha kuendesha maisha
Hebu tusaidiane ndugu zangu kwa wale jobless ni mbinu gani unayotumia kujipatia kipato cha kuendesha maisha Hebu tupeane maujuzi ni mbinu unazotumia ambazo na sisi jobless tukizutumia tunaweza pata akiri na uwezo wa kujipatia kipato hata kama ni kidogowww.jamiiforums.com
Unatuomba ushauri wakati hapa ulituelekeza namna ya kuacha mwanamke? Pitia desa zako au mganga hajigangi?
Fahamu njia tano za kuachana kwa amani bila kuumizana wala kugombana
1. Njia ya kwanza ni kupeana likizo yaani hii ndio njia pekee kila mmoja kujitafakari lakini kipindi mkiwa likizo mara moja moja mnakuwa mkiwa wasiliana mpka inafika hatua mnapotezana taratibu 2. Njia ya pili ni kumfanya mpenzi wako awe your best friend yaani unatakiwa kuishi nae kama rafiki...www.jamiiforums.com
Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu....
Nadhani hujaelewa mada sijaongelea kwamba single mother apewe kipaumbele kwenye ndoa!Nimesema aache kuhukumiwa na sio jukumu la mwanamke tu kula pipi na ganda!Hujui hata condom inaweza kupasuka?Kesi nyingi zilizoko mahakamani ni viwanja vyenye mgogoro. Yaani hata zikiisha utasikia kuna mwanafamilia kakata rufaa, mara yule kaleta bill of cost. Mara yule kaleta zuio, Etc etc......
Ndo maana tukakubaliana kabla viwanja vyenye mgogoro havijanunuliwa, kwanza mnunue hivi visivyo na mgogoro.
Bi shost hawezi kuolewa kirahisi hivo wakati kuna wadada wamejitunza wakajinyima starehe sasa yeye ni nani? Kwamba ana bahati zaidi ya wengine?
Kwamba yeye anajuamulia tu kwamba yeye hawezi kula pipi kwenye ganda leo aolewa tena kirahisi? Hapana.!!
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake.😆
Kila la kheri kwenye kuoa bikira katika karne hii!Vitu vingine tukiongea viwe vinakaribia pamoja na kuendana na uhalisia na nyakati tuliyopo isiwe blah blah tu!Kila siku tunaongea humu ....
Oeni bikra ,hao single maza hawana la kupoteza watakuharibia maisha kijana ...
Kwanini uanze game 1-0..
Anza game 0-0
Singo maza grupu[emoji23]Another upcoming special group in our society....!!
Cc Samcezar
Tunakula mizoga then tunaitapikaPunguani ni anayekula mzoga
Mimi nakula mizoga then naitapika, kichefuchefuKivyako, kwani nani kakuomba ule huo mzoga ulionao sasa hivi...
hongeraMimi nakula mizoga then naitapika, kichefuchefu
Mwanamke hazikwepi lawama sababu ni yeye pekee ndie mwenye maamuzi ktk hili. AKISEMA YES NI YES, POA AKISEMA NO NI NO.Hongera kwa kumsaidia shangazi yako katika malezi Mungu ndio atakulipa.Unafanya jambo la busara.
Ila hiki kitu kingekuwa kinakanywa kwa wanaume pia kusingekuwa na single mothers.
Sielewi kwanini jukumu zima la uzinzi kati ya mwanamke na mwanaume anabebeshwa mwanamke peke yake ikija kwenye matunda yake.Kama ni kuwekwa sawa wanapaswa kuwekwa sawa pande zote mbili kwasababu wote ni wakosaji.
Mbona huelewi[emoji30]hivi kama me akitaka kutiana na wewe ukimkatalia atakuua?? Waamuzi Wa mwisho ni nyie... Ukitaka mimba utapewa na usipotaka kamwe Hutopewa.Wanaume pia kubadilike acheni kumimbisha watu hovyo!
Hivi ww kama kweli mwanaume rijali how can you and stand of majority and proclaim to be so irresponsible?Hii ni aibu kubwa. Zinaa ni tendo mnalokubaliana nalo wawili na hata kinga pia!Kama ww hutaki mtoto au majukumu jikinge vaa condom au mwaga nje for the least!Shame!Mbona huelewi[emoji30]hivi kama me akitaka kutiana na wewe ukimkatalia atakuua?? Waamuzi Wa mwisho ni nyie... Ukitaka mimba utapewa na usipotaka kamwe Hutopewa.
Umenena Sana mkuuMbona huelewi[emoji30]hivi kama me akitaka kutiana na wewe ukimkatalia atakuua?? Waamuzi Wa mwisho ni nyie... Ukitaka mimba utapewa na usipotaka kamwe Hutopewa.