National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Sikilizia tu aunt.. hata ukiwa na 100 fresh kabisaa 😅😅Aunt utaniponza😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikilizia tu aunt.. hata ukiwa na 100 fresh kabisaa 😅😅Aunt utaniponza😂😂
Kwa hiyo hamtaki ndoa....this is gud newsKuna katabia kapo hata sijui aliyekaanzisha nani aisee, ka kuamini kila mwanamke anataka kuolewa na ndio lengo au ndoto za maisha yake.
Utakuta wanaume wanamtongoza mwanamke akikataa wanaanza kusema anaringa kwa kuwa bado umri haujaenda, ukienda ataokota yoyote aliye mbele yake ili aolewe, wakati huo jua lishazama.
Wakikataa wanakutana na maneno kama; kalenda inaenda wewe changamka, unaringa wakati una miaka 30? Unaringa hujui mwanamke anazeeka haraka! Unaringa na jua lishazama? Endelea kuringa utakosa soko wewe! Una miaka miwili tu ya kupata mtoto hapo si uolewe?!
Kwani aliyewaambia huyo mwanamke anataka kuolewa nani? Tamaa zenu tu ndio zinawafanya muwapangie wanawake wakifika umri fulani waolewe, matokeo yake pressure wanayopewa wanakubali yoyote hata wasiomtaka.
Kwa hiyo mnataka binti ajizolee yoyote ili mradi kuuwahi umri? Kwanza nani kawaambia lazima kila binti aolewe? Kwani asipoolewa ataumwa au atakufa kwa kutokuolewa? Mwacheni dada wa watu atimize malengo yake, ataolewa hata na miaka 70 kama akitaka kuolewa. Kwani hakuna wanaoolewa na miaka 80?
Acheni kuwapa pressure ya ndoa wanawake kwa kigezo cha umri, nao wana malengo na ndoto zao za kutimiza kabla ya kuingia kwenye hizo ndoa.
Wacha kumuingiza mkenge...kuna raha ya kuwa na de libolo lako ndani yaani sio la appointmentSikilizia tu aunt.. hata ukiwa na 100 fresh kabisaa 😅😅
wabishi sana alafu wajuaji kinomaaa 🤣🤣🤣 hata sabini fresh tu wataolewa na kuzaaaWacha kumuingiza mkenge...kuna raha ya kuwa na de libolo lako ndani yaani sio la appointment
Ata 100 wee subiri mr ryt apatikane. Kwanza kwani kuolewa kuna muhimu gani? Sii mna malengo yenu ebu yatimizeni kwanza kama alivyosema mleda madaKuolewa mwisho miak mingapi?
Malengo gani mm Nina 35 na sinachochote hata kiwanja nipo nipo tuAta 100 wee subiri mr ryt apatikane. Kwanza kwani kuolewa kuna muhimu gani? Sii mna malengo yenu ebu yatimizeni kwanza kama alivyosema mleda mada
Njoo mikuwowe basiMalengo gani mm Nina 35 na sinachochote hata kiwanja nipo nipo tu
Kwa hiyo tuliozaliwa wazazi wako kwenye 40s ni mazezeta dogo heshima kitu cha bureKuoa na kuolewa kuna muda maalumu asikwambie mtu, jamii iliyostarabika inaoa na kuolewa kwenye early 20's sasa uoe au uolewe na miaka 40 uzae mtoto aje kufikia umri wako wa miaka 40 ww utakuwa na miaka mingapi? Hata wanawake wanahauriwa kuzaa mapema kipindi mayai yakiwa na rutuba ndo utapata watoto wenye akili, sasa unazaa na miaka 45 utatoa mtoto zezeta na asifundishika!
Wanasaikolojia wote wamegawa vipindi vya makuzi ya binadamu kuanzia tumboni mpaka kuzaliwa hadi kufa na kila stage ina mambo yake , ukivuka stage moja utaathiri stage nyingine kipindi cha miaka 30- 45 kila binadamu anatarajia kuwa tayari ana familia sasa familia uipate kwa miaka 70??
Hii sio kweli. Umeongea kwa msukumo wa fikra chuki na haujalenga uhalisia.mwanamme kwa asili ni mbinafsi, dikteta na kandamizi. Ili hayo yafanikiwe sasa hutumia strategy ya kumfanya mwanamke ajione asiyefaa kabisa, asiyestahili upendo huruma wala heshima, njia mojawapo ni kumsakama mwanamke sababu ya umri wake kumfanya awe vulnerable kwa mwanamme na hii itamfamya apatikane bila usumbufu kwa mwanamme.
Uko sahihi kabisaaa mimi nina miaka 29 saivi na wala sina pressure ya ndoa wala mtoto, walionizunguka wanaongea sana ila huwa nawaambia tumetofautiana ww kama kipaumbele chako mtoto zaa kama ndoa subiri uolewe.mwanamme kwa asili ni mbinafsi, dikteta na kandamizi. Ili hayo yafanikiwe sasa hutumia strategy ya kumfanya mwanamke ajione asiyefaa kabisa, asiyestahili upendo huruma wala heshima, njia mojawapo ni kumsakama mwanamke sababu ya umri wake kumfanya awe vulnerable kwa mwanamme na hii itamfamya apatikane bila usumbufu kwa mwanamme.