Kwanini mnawapangia wanawake ukomo wa umri wa kuolewa?

Kwa hiyo hamtaki ndoa....this is gud news
 
Ata 100 wee subiri mr ryt apatikane. Kwanza kwani kuolewa kuna muhimu gani? Sii mna malengo yenu ebu yatimizeni kwanza kama alivyosema mleda mada
Malengo gani mm Nina 35 na sinachochote hata kiwanja nipo nipo tu
 
Kwa hiyo tuliozaliwa wazazi wako kwenye 40s ni mazezeta dogo heshima kitu cha bure

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Hii sio kweli. Umeongea kwa msukumo wa fikra chuki na haujalenga uhalisia.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Uko sahihi kabisaaa mimi nina miaka 29 saivi na wala sina pressure ya ndoa wala mtoto, walionizunguka wanaongea sana ila huwa nawaambia tumetofautiana ww kama kipaumbele chako mtoto zaa kama ndoa subiri uolewe.
Ila mimi nilishasemaga na moyo wangu kwamba ndoa au mtoto ni option na mindset za watu ukishafika umri fulani au ukishapata pesa kinachofuata ni ndoa au mtoto nani kasema?? Mmekarr.
 
Heshima ya mwanamke ni kuolewa kuwa mke na kuwa mama tena ndani ya ndoa iliyo hai tofauti na hapo mwanamke hana thamani.

Hivyo ilikulinda heshima yake mwanamke ni vyema mwanamke akaolewa pale anapo vunja uongo na siyo vinginevyo Wenye akili wamenielewa
 
Imagine. Ukomo uko kwenye fikra zako mwanamke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…