Kwanini mnawasakama walimu? Mbona wana mishahara mikubwa kuliko kada zingine?

Kwanini mnawasakama walimu? Mbona wana mishahara mikubwa kuliko kada zingine?

Sasa kaka, afisa tehama halmashauri, au maendeleo ana posho gani nyingine? Tofauti na salalry
Eeeeeh🤣😆
Afisa Tehama
-kuhalili mifumo
-ku-upload habari za miradi hlamshauri
-Zoezi la kuandikisha wapiga kura,I.T anaachajwe hapo
-seminars/orientation za mafunzo ya mifumo,e.g.MUSE/ESS/etc
afisa maendeleo ya jamii
-posho ya kutembelea makundi maalum
-posho ya kutembelea wajasiriamali
-posho ya kutembelea miradi ya uzalishaki ya halmashauri,sasa jiulizs halmashauri inakusanya bilioni 4 huko
NOTE
Changamoto ya ualimu ni kua 1.unahudumia watu wasiokua na pesa,na hata wazazi wa shule za serikali hawajui umuhimu wa elimu...
2.ukiwa mwalimu wewe clients wako ni wanafunzi tu-98%,wakati clinical officer tu anaweza hudumia hata mkuu wa wilaya hapo halmashauri
Yaani walimu wanaathiriwa sana na circle ndogo na networks isiyohamasisha
 
Nikiwa Rais nitahakikisha walimu wanalipwa posho ya mazingira magumu, kwa wale wanaofanya kazi vijijini.

Kuna kijiji kimoja niliwahi kwenda barabarani wanavuka panya tu barabara zinaonekana huwa gari hazipiti kabisa network hamna ila kuna shule huko, ukitupa chupa ya maji watoto wanaikimbilia maana ni kitu ambacho hawajazoea kukiona yaani niliwaza mengi sana
Changamoto ya walimu ni wengi sana,hata wewe uwe rais hautoweza.......80% ya payroll ya bongo wamejaa walimu,.........ni rahisi sana kuongeza milioni 10 kwenye mishahara ya wabunge na bajeti isiyumbe kuliko kuongeza shilingi elfu 10 kwa walimu😆😆
 
Nikiwa Rais nitahakikisha walimu wanalipwa posho ya mazingira magumu, kwa wale wanaofanya kazi vijijini.

Kuna kijiji kimoja niliwahi kwenda barabarani wanavuka panya tu barabara zinaonekana huwa gari hazipiti kabisa network hamna ila kuna shule huko, ukitupa chupa ya maji watoto wanaikimbilia maana ni kitu ambacho hawajazoea kukiona yaani niliwaza mengi sana
Hapo mjini sana aisee
Kuna sehemu Mbeya huko tulienda na pick-Up,DFPA,tukampa lift Mzee na wajukuu zake kama wawili hivi,....kumshusha anatuuliza huyu anachinjwa baada ya muda gani😀😀
 
Beana kuna hao ma afsa mifugo na uvuvi wale jamaa mishahara midogo ila wanapiga posho mwalim labda akusanye mishahara ya miezi kadhaa me nawajua wanasimamia minada ya ng'ombe na minada ya samaki yaan wanaendesha migari mwalim hawez miliki labda astaafu wallah nakwambia na nawajua n jamaa zangu wako mwanza leo hii uniambie wale sw na walim we utakuwa kiande
 
Kama wanamshahara mkubwa Kwa Nini maisha Yao huonekana kama ya mtu amejichokea?kumkuta mwalimu ana angalau ki ist ni wa kuitafuta Kwa tochi
Kua na IST mkuu ni kua na maisha? Ni prefference tu, kuna maticha wana nyumba mbili lakini hawana ist unadhani walishindwa kumiliki IST?
 
Weeeeeh mtoa mada acha kutusingizia, mishahara gani mikubwa🙄🙄🙄🙄🙄🙄
 
Shida si mshahara tu, ila ugum wa kaz yako, majukum na aina ya familia zao, life style yao pia muda wanaospend kazini na hakunaga marupurupu uko CCM wasipobariki.

Hii ni jamii ya Watanzanua wanyonge kabisa kiwango cha uchochoro wa vumbi kuelekea mafanikio, WATETEE USIWAPE BICHWA.
 
Nimeona mnawasakama sana walimu, mnawaona kama ni watu maskini lakini nikiangalia kada zingine za halmashauri wanakaa juu ya mawe tu hakuna utofauti wowote wa maisha kati ya walimu na watumishi wengine.

Mwalimu mwenye degree anaanza na D3 ambayo ni 805,000/= na maafsa wengine wa halmashauri, kama ustawi wa jamii, afsa maendeleo, mhasibu,afsa biashara, na wengine wengine wanaanza na D1 ambayo ni 771,000/ sasa hapo nani ana mshahara mdogo?

Kwa hiyo hakuna sababu ya kuwasakama walimu kwamba wana mishahara midogo na kuwaona wao wana maisha magumu, maafsa wote chini ya Tamisemi njaa kali tu.
Ni kwa sababu waalimu hawana mianya ya kuiba na sisi tumezoea wezi.
Ingekuwa kada zote haziibi sawa na walimu basi wangekuwa wanaheshimika nchi hii.
Nchi hii unakuta mtu mshahara miliom 4 kwa mwezi, ila kwa mwaka ana expenditure ya milion 400 pasipo biashara wala mkopo
 
Back
Top Bottom