Mtihani wa taifa la 7 ni laki 5..uliona wapi ?Sasa hivi madili mengi na wao wanapata, seminar za walimu, kuandaa practical n.k. ambapo kuandaa practical ya siku 1 ni 500,000 kusimamia la saba na darasa la nne siku mbili, ni 500,000/ akienda seminar ya sequip si chini ya 1000,000/ mambo yanabadilika.
bado akienda kucmamia fm6 700+Sasa hivi madili mengi na wao wanapata, seminar za walimu, kuandaa practical n.k. ambapo kuandaa practical ya siku 1 ni 500,000 kusimamia la saba na darasa la nne siku mbili, ni 500,000/ akienda seminar ya sequip si chini ya 1000,000/ mambo yanabadilika.
Na ile mishati yao ya mtumba sijui huwa wanaambizana kuinunua sare.Kama wanamshahara mkubwa Kwa Nini maisha Yao huonekana kama ya mtu amejichokea?kumkuta mwalimu ana angalau ki ist ni wa kuitafuta Kwa tochi
Je Hizo semina wanapata walimu wangapi kwa mwaka??????Sasa hivi madili mengi na wao wanapata, seminar za walimu, kuandaa practical n.k. ambapo kuandaa practical ya siku 1 ni 500,000 kusimamia la saba na darasa la nne siku mbili, ni 500,000/ akienda seminar ya sequip si chini ya 1000,000/ mambo yanabadilika.
Kuna sehemu hakuna uchawa?Hii kada ilikuwa zamani sasa hivi haijitambui ni uchawa tu...huko kwa wenzetu mwalimu Supreme......
Unasema kwa mifano mkuuππππ Pole Sana
Darasa la nne na la saba jumla.Mtihani
Mtihani wa taifa la 7 ni laki 5..uliona wapi ?