Kwanini Mo Anapata Hasara Simba, Yanga wanapata Faida?

Kwa mwendo huu ndomana akinafei walikuwa wanalialia kumbe lengo chenji ibaki
 
Huwa wanasema vyanzo vya mapato na kiasi cha pesa kilichopatikana. Na matumizi wanasema e.g safari, mishahara, posho na kiasi chake kwa kila item in general
 
Yaninj kuendelea na biashara inayokupa hasara, awapishe wafanyabiashara wengine.
 
Kwanza utuambie hiyo report imekuwa audited na Auditing Firm gani ili tujue credibility ya hiyo report. Kama Auditors ni PWC,KPMG,Ernest & Young au Delloite na auditing firms za caliber hiyo nitakuelewa.Vinginevyo msituletee blah blah za figures za kutengenezwa na kina Mfikirwa mkaishia kuwadanganya watu.
 
Siasa na ushabiki naomba tuuweke pembeni,katika mapato waliyoingiza Yanga ya bilioni 17.8 ndani yake kuna mkpo wa bilioni 4 walizokopa,tafuta mhasibu akuambie ukweli uliopo walioufanya Yanga,Kiufupi Yanga wamepata hasara ya bilioni 3.5 akili za kuambiwa changanya na zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…