Mbona nimekupostia BS inayoonyesha accrue expenses? Au hujui hizo accrue zilishatambuliwa kwenye Income statement ndo zikawepo hapo. Soma hiyo BS hapo kulipowekwa yellow ni accrue expenses. Inaweza kuwa mishahara pia.
View attachment 2668117
Income statement utaona kama gharama za mwaka husika na sio mkopo. Inaenda kwenye BS sheet siku unalipa uta Dr Accrue, na uta Cr Cash bila kuitambua kama gharama kwa mara nyingine.
Kuhusu ualimu Mimi sijui hata ualimu unafananaje, uhasibu nimeujua kutoka kwenye biashara zangu nikiwa na wahasibu wanaoniandalia hesabu na wakati wa discussion na TRA kila mwaka baada ya examination zao. Pia katika ujana nilibahatika kufanya kazi kwa ukaribu na accounts departments za baadhi ya kampuni.