Kwanini Mo Anapata Hasara Simba, Yanga wanapata Faida?

Kwanini Mo Anapata Hasara Simba, Yanga wanapata Faida?

Hata ulaya kamwe huwezi pewa financial statements wanasemaga wamepata faida au hasara kiasi gani
Kuwa unapenda kufuatilia mpira na sio kuwa zwazwa
Unajiona mjuaji wakati hujui kitu! Unajua tofauti ya Yanga au Simba na club hizo za ulaya uzisemazo?
Au tofauti ya Simba/Yanga na club kama Azam au Singida Big stars?
Hizo Kariakoo clubs ni mali za wanachama (public) wakati hizo za ulaya au Azam/SBS zina wamiliki binafsi hakuna haja ya kutangaza hadharani hesabu zake.
 
Bado iko kienyeji sana hivyo sio hesabu sahihi hizo.
Huwezi kutaja Mapato kutoa matumizi na kusema kilichobaki ni faida.
Madeni jee? Tunaambiwa wachezaji wa Yanga Princess hadi leo wanadai posho zao na hata nauli baada ya kumaliza mikataba yao na msimu kufungwa tokea May 17 hadi leo wanasota kiasi cha kutaka kuandamana. Bado utasema wana faida?
Mkutano mkuu wa club kubwa kama Yanga unatoa hesabu very shallow kama hivyo?
Mimi nilijua LIABILITIES & ASSETS vinakuwa kwenye BALANCE SHEET kumbe siku hizi vinawekwa kwenye PROFIT & LOSS ACCOUNT?
 
Yanga kama taasisi haiwezi kukosa madeni (accruals) kama vile TRA, Land rents nk.
Ndio maana nasema kuna walakini, huo ni mfumo wa hesabu za genge la mama ntilie yaani unahesabu umepata ngapi umetumia ngapi baki ni faida.
Kuwa mpole. Unatambua mapato na matumizi pale yanapotokea sio ukifanya malipo. Hii ni accruel concept ya wahasibu na CPA zao.


DR: EXPENSES
CR: ACCRRUAL.

Expenses zinaenda kuaffect income and expenditure halafu accruals zinaenda kuaffect liabilities kwenye balance sheet.

Siku mnafanya malipo:
DR: ACCRUAL
CR: CASH.

Kwa ufupi

You realise income and expenditure when they happen and not when cash is paid.

Kama hesabu zimeandaliwa kihasibu na accrual concept ikatumika wapo sawa kutangaza hiyo faida. Madeni yameshatambuliwa kwenye mapato na matumizi halafu yanaamia kwenye liabilites kama accruals. Same goes to pre-paid zinakaa kama assets.


SIJUI UMEELEWA? Fanya biashara kwa kutunza mahesabu na wataalam kihasibu in time utazoea hivi vitu, wahasibu hawatakuibia kizembe.
 
Nimetazama report ya mapato na matumizi ya klabu ya Yanga SC kwa msimu uliopita.

Yanga sc imeteangaza Kupata Faida ya million 581 katika msimu ulioisha 2022/23 .

Mapato Billion 17.8

Matumizi ni billion 17.3

BAKIO ni 581.

Ndugu zetu Simba wanakwama wapi katika kupiga hatua kama sisi.

Upi ushauri unao wafaa ili waweze kufika level zetu kifedha.?
mo anatoa pesa peke yake
 
Ninacho mkubali mwamba ile jezi kaigeuza kama bango lake, aikiingiza bidhaa mpya sokoni, anaibandika sehemu yoyote. Naona sehemu za juu zikijaa ataanza kubandika kwenye bukta.
 
Unajiona mjuaji wakati hujui kitu! Unajua tofauti ya Yanga au Simba na club hizo za ulaya uzisemazo?
Au tofauti ya Simba/Yanga na club kama Azam au Singida Big stars?
Hizo Kariakoo clubs ni mali za wanachama (public) wakati hizo za ulaya au Azam/SBS zina wamiliki binafsi hakuna haja ya kutangaza hadharani hesabu zake.
Timu za ulaya zinatangazaga zimepata faida au hasara kila mwaka kama ulikua haujui ndo ujue

Swali sio utofauti wa umiliki bali vilabu vyote vya mpira vinamashabiki lazima viwape taarifa mashabiki wake pole kama ulikua hujui na hili
 
Kuwa mpole. Unatambua mapato na matumizi pale yanapotokea sio ukifanya malipo. Hii ni accruel concept ya wahasibu na CPA zao.


DR: EXPENSES
CR: ACCRRUAL.

Expenses zinaenda kuaffect income and expenditure halafu accruals zinaenda kuaffect liabilities kwenye balance sheet.

Siku mnafanya malipo:
DR: ACCRUAL
CR: CASH.

Kwa ufupi

You realise income and expenditure when they happen and not when cash is paid.

Kama hesabu zimeandaliwa kihasibu na accrual concept ikatumika wapo sawa kutangaza hiyo faida. Madeni yameshatambuliwa kwenye mapato na matumizi halafu yanaamia kwenye liabilites kama accruals. Same goes to pre-paid zinakaa kama assets.


SIJUI UMEELEWA? Fanya biashara kwa kutunza mahesabu na wataalam kihasibu in time utazoea hivi vitu, wahasibu hawatakuibia kizembe.
Kuna watu wameumia sana baada ya Yanga kutangaza faida angalau wamejitahid kuonyesha walichopata na walichotumia

Kuna mtu tokea achukue timu kama mwekezaji yeye ni kulia kupitia maneno matupu anapata hasara kila mwaka mbaya zaid haonyeshi kimahesabu anapataje hasara
 
Mimi nilijua LIABILITIES & ASSETS vinakuwa kwenye BALANCE SHEET kumbe siku hizi vinawekwa kwenye PROFIT & LOSS ACCOUNT?
Ni kwa sababu hiyo hiyo MKOPO hautakiwi kuripotiwa kama PATO la timu maana unatakiwa kurejeshwa. Pia kama wameamua kuuripoti kama chanzo cha fedha zilizosaidia kuendesha timu, mbona malipo ya riba na pesa ambayo wameirudisha mpaka sasa wawajaripoti?

Hii ripoti imejaa udanganyifu pia ilitakiwa ikaguliwe kabla haijaletwa kwa wanachama siyo kukaguliwa baada ya mkutano.
 
Kuwa mpole. Unatambua mapato na matumizi pale yanapotokea sio ukifanya malipo. Hii ni accruel concept ya wahasibu na CPA zao.


DR: EXPENSES
CR: ACCRRUAL.

Expenses zinaenda kuaffect income and expenditure halafu accruals zinaenda kuaffect liabilities kwenye balance sheet.

Siku mnafanya malipo:
DR: ACCRUAL
CR: CASH.

Kwa ufupi

You realise income and expenditure when they happen and not when cash is paid.

Kama hesabu zimeandaliwa kihasibu na accrual concept ikatumika wapo sawa kutangaza hiyo faida. Madeni yameshatambuliwa kwenye mapato na matumizi halafu yanaamia kwenye liabilites kama accruals. Same goes to pre-paid zinakaa kama assets.


SIJUI UMEELEWA? Fanya biashara kwa kutunza mahesabu na wataalam kihasibu in time utazoea hivi vitu, wahasibu hawatakuibia kizembe.
Ni CPA gani hiyo inayoripoti MKOPO kama PATO la taasisi hadi linatumika kwenye mahesabu ya faida/hasara?
 
Kama ni kweli kwa nini hawakuviweka wazi vyanzo vya mapato na kiasi wanachoingiza kwa kila chanzo?
 
Ni CPA gani hiyo inayoripoti MKOPO kama PATO la taasisi hadi linatumika kwenye mahesabu ya faida/hasara?
Aisee. Una elimu ya uhasibu au utabishana kishabiki tu? Maana hayo ni mambo professional boss.
 
Hizi ni taaruma za watu tulia
Aisee. Una elimu ya uhasibu au utabishana kishabiki tu? Maana hayo ni mambo professional boss.
Mnakimbilia kusema ni mambo professional utadhani kuna watu maalumu wanaoweza kuwa na hayo maarifa na hiyo profession. Post hapa income statement au profit and loss account ya kampuni au taasisi yoyote ile inayoonyesha mkopo umewekwa kama revenue.
 
Ni kwa sababu hiyo hiyo MKOPO hautakiwi kuripotiwa kama PATO la timu maana unatakiwa kurejeshwa. Pia kama wameamua kuuripoti kama chanzo cha fedha zilizosaidia kuendesha timu, mbona malipo ya riba na pesa ambayo wameirudisha mpaka sasa wawajaripoti?

Hii ripoti imejaa udanganyifu pia ilitakiwa ikaguliwe kabla haijaletwa kwa wanachama siyo kukaguliwa baada ya mkutano.

Nakubaliana nawe hapo kwenye ripoti ikaguliwe kabla kufikishwa mkutanoni kama ilikuwa bado haijakaguliwa.
Hapo kwenye riba umejuaje kama haikujumuishwa kwenye kufikia hiyo FAIDA iliyoripotiwa au ripoti umeiona mwenzetu?
 
Kama ni kweli kwa nini hawakuviweka wazi vyanzo vya mapato na kiasi wanachoingiza kwa kila chanzo?
Ulitaka kila item kwenye Financial Statement isomwe pale kwenye mkutano sio?.
Hata Kama ingesomwa kila item isingeweza kutoa details za kutosha labda wangesoma na GENERAL LEDGER ili ujue tarehe Saba mwezi wa nane tumenunua kalamu mbili kwa matumizi ya CEO, tarehe 31/3 bank change shilingi Mia mbili , tarehe ...soda Fanta chupa tatu za wageni waliotembelea klabu, n.k
 
Mnakimbilia kusema ni mambo professional utadhani kuna watu maalumu wanaoweza kuwa na hayo maarifa na hiyo profession. Post hapa income statement au profit and loss account ya kampuni au taasisi yoyote ile inayoonyesha mkopo umewekwa kama revenue.
Mkuu acha ubishi.
Accrue concept inatambua matumizi na mapato yanapotokea sio pale fedha inapolipwa. Unataka kubishana na facts za wahasibu?

Mfano. Mwaka 2023 hujalipa mishahara kwenye hesabu zako itakuwa hivi.


Income statement:
MAPATO
viingilio XXXXXX

TOA:
MATUMIZI
Mishahara xxx

Faida/(Hasara) xxx

Balance Sheet.
ASSET
Mali za muda mrefu xxxx
Mali za muda mfupi xxxx

MTAJI
Akiba xxxx
LIABILITIES
Mishahara xxxx



SASA HUU NDO UHALISIA, KAMA HUJAELEWA UTAJUA MWENYEWE, KAMA HUTAKI UTAJUA MWENYEWE, KAMA NI MBISHI UTAJUA MWENYEWE.

KAMA UMEELEWA HONGERA.
images (20).jpeg
 
Kwa msoto wanaopitia washkaji wangu wanaotinga kwenye viwanda vya wahindi sioni ni namna gani Mudi anaweza kuwa anapata hasara kwa makolo bado akaendelea kuwepo
 
Mkuu acha ubishi.
Accrue concept inatambua matumizi na mapato yanapotokea sio pale fedha inapolipwa. Unataka kubishana na facts za wahasibu?

Mfano. Mwaka 2023 hujalipa mishahara kwenye hesabu zako itakuwa hivi.


Income statement:
MAPATO
viingilio XXXXXX

TOA:
MATUMIZI
Mishahara xxx

Faida/(Hasara) xxx

Balance Sheet.
ASSET
Mali za muda mrefu xxxx
Mali za muda mfupi xxxx

MTAJI
Akiba xxxx
LIABILITIES
Mishahara xxxx



SASA HUU NDO UHALISIA, KAMA HUJAELEWA UTAJUA MWENYEWE, KAMA HUTAKI UTAJUA MWENYEWE, KAMA NI MBISHI UTAJUA MWENYEWE.

KAMA UMEELEWA HONGERA.View attachment 2668107
Halafu unaweza kukuta wewe ni mwalimu kabisa wa Bookkeeping halafu unaongea haya. Unadai unazijua accounting principles, halafu haujui tofauti ya vitabu vya kihasibu na kazi zake. Nani anazungumzia mishahara hapa?

Nimekuomba upost income statement au profit and loss account yoyote unayoweza kuipata inayoonyesha mkopo umewekwa kama income, wewe unanipostia balance sheet.
 
Halafu unaweza kukuta wewe ni mwalimu kabisa wa Bookkeeping halafu unaongea haya. Unadai unazijua accounting principles, halafu haujui tofauti ya vitabu vya kihasibu na kazi zake. Nani anazungumzia mishahara hapa?

Nimekuomba upost income statement au profit and loss account yoyote unayoweza kuipata inayoonyesha mkopo umewekwa kama income, wewe unanipostia balance sheet.
Mbona nimekupostia BS inayoonyesha accrue expenses? Au hujui hizo accrue zilishatambuliwa kwenye Income statement ndo zikawepo hapo. Soma hiyo BS hapo kulipowekwa yellow ni accrue expenses. Inaweza kuwa mishahara pia.
images (20).jpeg


Income statement utaona kama gharama za mwaka husika na sio mkopo. Hizo gharama ambazo hazijalipwa zinaenda kwenye BS sheet halafu siku unalipa uta Dr Accrue, na uta Cr Cash bila kuitambua kama gharama kwa mara nyingine sababu ulishaziweka kwenye income statement zilipotekea.

Kuhusu ualimu Mimi sijui hata ualimu unafananaje, uhasibu nimeujua kutoka kwenye biashara zangu nikiwa na wahasibu wanaoniandalia hesabu na wakati wa discussion na TRA kila mwaka baada ya examination zao. Pia katika ujana nilibahatika kufanya kazi kwa ukaribu na accounts departments za baadhi ya kampuni.
 
Back
Top Bottom