Kwanini MO Dewji anataka kufunga kiwanda chake cha chai Nchini Tanzania? Bashe amgomea!

Mwulize MO mwenyewe
 
[QUOTE="Erythrocyte, post: 49772889, member:
Swali jingine ni hili, kwanini jambo hili lishughulikiwe na Wizara ya kilimo badala ya Wizara ya Viwanda?


======
“Nimepokea barua ya kampuni ya Mohamed Enterprise kutaka kufunga Viwanda nimewaambia hawawezi kufunga viwanda, tujadiliane njia nyingine lakini sio kufunga kwasababu kwetu bado sekta ya chai bado ni muhimu kwa ajira za Watu, binafsi naamini nikienda Rungwe kama Wakulima wangekuwa hawana mazao mengine umasikini ungekuwa mkubwa mno kwa hali ya chai ilivyo, Lupembe, Mafinga, Mufindi kote hali ingekuwa mbaya”

“Nimepokea maombi ya MO kuja kwetu Serikali kwamba Serikali tuyachukue mashamba (ili kuyaendeleza).......
[/QUOTE]

Huyu mbowe inabidi ashitakiwe kwa kuaageuza ndg zetu wachache kuwa manyumbu kabsaaa wasioelewa chochote milele. Hebu angalia maelezo ya waziri hayo hayo na hilo aliloliita 'swali' lake la pili.
 
Kuna mambo fulani kama muajiri ni lazima aitaarifu serikali, hawezi kufunga tu.
🤣🤣🤣🤣

Mkuu tunahitaji sana elimu humu, haki ya nani tena. 'Great thinker' anashauri Mo angefunga tu bila kuitaarifu serikali🤣🤣🤣🤣.

'Great thinker' inaonekana mpaka leo anajua hakuna utofauti wowote wa uendeshaji kati ya viwanda vikubwa na viosk vyetu vya pipi huku kwa mwananyamala na goba🤣🤣🤣🤣🤣

Nimecheka sana!!!!
 
Mkuu,

Kuna wengine wanagenzi. Wengine wanetu. Wengine wanajifunza.

Kuna kila aina ya watu hapa.
 
Sasa wafanyeje zaidi wamuue kwa High Blood Pressure? Mali kachuma humo humo CCM, leo anataka kuwakimbia, watamkata visigino.
Basi ndio maana wanalia lia utakuta walitakatisha hela humo sasa wanaona anawatapeli 😄
Money laundering ipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…