Ngoja tukujibu vizuri:-
Kifupi Manji hakuwa mtu wa mpira ni limbukeni wa mpira ndio maana akafanya hivyo kuingiza watu bure kilumba pamoja na taifa halafu akaja kuiacha timu ikiwa omba omba wa angelikuwa na akili ya mpira hiyo Hela ya kuingiza watu bure angeweka kwenye club na bado angechukua viingilio pia akainvest kwenye club.
Figisu alizofanyiwa Manji na Yanga yake ulikuwa kwenye comma?