Kwanini Mo 'hatamuweza'Manara

Kwanini Mo 'hatamuweza'Manara

Na kwa kuongezea tu sikuzote passion ndio hupelekea ubunifu zaidi na progressive output! Ukikipenda kitu utakifanya kwa ubunifu wa hali ya juu against all the odds na sikuzote focus huwa kwenye best impact to the audience!

Proffessionalism has most to do with principles ila output yake iko limited inafikia mahali you will need somebody with passion and heart! Proffessionalism haiko connected na passion at all times thats why solution zake to problems ziko limited.

Mpira its a sport na iko connected sana na entertainment ya watu! We need a cheerleader like Manara to feel alive and enjoy the sport. Hatuhitaji mtu ambaye ataendesha mambo kama Lawyer sababu eti ni professional. Our teams weren’t built that way.

Ni swala la muda tu tutaona pengo la Haji Manara hasa morale ya timu iki drop!
Morali ya timu iki drop kwamba Chama ata flop, Onyango ata flop, Bwalya atashuka uwezo kwa sababu ya huyo mpiga Taarabu hayupo hicho kitu hakitakuja kutokea Never....... Tutaenda uwanjani kwenye mechi za Simba kwa sababu tuna Passion na club yetu sio vinginevyo.
 
Morali ya timu iki drop kwamba Chama ata flop, Onyango ata flop, Bwalya atashuka uwezo kwa sababu ya huyo mpiga Taarabu hayupo hicho kitu hakitakuja kutokea Never....... Tutaenda uwanjani kwenye mechi za Simba kwa sababu tuna Passion na club yetu sio vinginevyo.
Nimesema muda ndio muamuzi wala halina mjadala sababu hata mtoto akikosa upendo hawezi fanya vyema shuleni
 
His 5 minutes of fame zinaisha hivi karibuni na Simba itabaki imara.
 
Morali ya timu iki drop kwamba Chama ata flop, Onyango ata flop, Bwalya atashuka uwezo kwa sababu ya huyo mpiga Taarabu hayupo hicho kitu hakitakuja kutokea Never....... Tutaenda uwanjani kwenye mechi za Simba kwa sababu tuna Passion na club yetu sio vinginevyo.
Labda utueleze sababu ya Simba kushinda mechi za nyumbani, hasa za kimataifa.
Kama uwepo wa mashabiki siyo factor, basi mtakuwa mnacheza bao labda au keram.
 
Well said MANARA anainflunce Sana ktk suala la mashabiki simba na pia ktk soka la TZ kwa ujumla kuhamasisha
 
Mafanikio ya muda mfupi yasiwafumbe macho, mlumbuke pia hela sio kitu pekee kinacholeta mafanikio kwenye team, kuna hitajika vitu vingine pia.Kuna tena huko Duniani zia hela ila mpaka leo Zina miaka mingi bila makombe.

Kwa hilo la Manara,kila shabiki wa Simba Sc anaejitambua atakuwa amepata picha ya kinachoendelea pale.
Mbona nimeuliza swali rahisi sana ila majibu unanipa out of topic??

Wewe unachoumia ni kipi Simba ikiibiwa na huyo Mo? Au unapata hasara gani kubwa?
 
Labda utueleze sababu ya Simba kushinda mechi za nyumbani, hasa za kimataifa.
Kama uwepo wa mashabiki siyo factor, basi mtakuwa mnacheza bao labda au keram.
Kwanini Yanga yeye alikuwa hashindi pamoja na Manji kuwalipia mashabiki waingie bure?
 
Kwanini Yanga yeye alikuwa hashindi pamoja na Manji kuwalipia mashabiki waingie bure?
Bila mashabiki ile mechi iliweza kuwa 5.
Lakini yanga kashamchapa Al Ahly taifa, kashamchapa USM Algiers ...
Msidhani nyie tu ndio mmemfunga Ahly
 
Well said MANARA anainflunce Sana ktk suala la mashabiki simba na pia ktk soka la TZ kwa ujumla kuhamasisha
Alikuwa muhamasishaji kule Egypt kwenye Afcon lakini tulifungwa mpaka na Kenya ambayo Football kwao ni third sport na hawakwenda hata muhamasishaji..
 
Bila mashabiki ile mechi iliweza kuwa 5.
Lakini yanga kashamchapa Al Ahly taifa, kashamchapa USM Algiers ...
Msidhani nyie tu ndio mmemfunga Ahly
Alafu baada ya kuwachapa mkafika kwenye makundi?

Mlivyofika makundi mkabuluza mkia bila kushinda hata mechi moja kwa Mkapa mlikosa mhamasishaji au mlikosa mashabiki??
 
Tukubali Manara kuna level alishafika huwezi kummaliza kirahisirahisi bila kupasua club. Kudeal na mtu kama Manara ni rahisi sana ila si kwa kumuundia skendo mbuzi.

Kitakachotokea ni kuvurugana na kutoaminiana na hapo mwisho wake ni MO kujitoa.

Kwa ufupi bila suluhu Simba haitobakia kama ilivyokuwa maana MO mwenyewe hana ngozi ngumu! Kama viongozi wa Simba wangeweza kufocus kwenye malengo yao na kuachana na kelele za Manara tungetoboa lakini sio hilo likitokea zaidi ya malumbano ambayo Haji atashinda tu.
Wafocus kwenye malengo yao wakat wanaminya maslah ya watu nje nje...uvumilivu na utumwa huo si karne hii ya kidigitali asee..ilikua zaman
 
Labda utueleze sababu ya Simba kushinda mechi za nyumbani, hasa za kimataifa.
Kama uwepo wa mashabiki siyo factor, basi mtakuwa mnacheza bao labda au keram.
Simba imeshinda Away Nigeria, Imeshinda Congo na huko ilikuwa na Mashabiki Mechi ya El Marreikh mashabiki walikuwepo uwanjani ????....Simba ipo hapo ilipo hivi sasa kwa sababu ya Qualify yake kuanzia Coach ,Technical bench, Player's na Uongozi collectively .

Timu inalindwa kwa pesa , Matokeo ya uwanjani na Vikombe sio kelele za Haji Manara.

Timu ina dead players kama Sarpong, Fiston ,Nchimbi, Yacouba ,Lamine umwambie mashabiki aende uwanjani atakuelewa??? Atakuona mwehu..

Chama, Bwalya, Miquissone, Morriston, Mugalu ,Lwanga,Kagere, Joash ,Aishi Nenda kaokote wachezaji kama Yanga harafu utumie mdomo wako kupiga kelele kama utapata Matokeo.
 
Huu Uzi naona umejaa mashabiki wa yanga, Huyo Manara ndio anacheza? Ndio anahudumia timu? Eti simba itetereke kisa Manara hayupo upumbavu mtupu, ndio maana soka letu haliendelei kama mashabiki wenyewe ndio hawa
 
Pale Simba Mo ana maadui wengi kuliko anavyofikiri, asifikiri ni kina Kilomoni peke yake kuna wengine wamekaa kimya ila wanajua nini kinaendelea kumpata mtu kama Manara ni pigo kwake sababu yeye kitu kikimkera anakimbilia twitter lakini washabiki wengi wa mpira hawako twitter bali kwenye vijiwe vya kahawa na mtandaoni. Salama pekee ya Mo ni Simba kufanya vizuri.
 
1628168036796.jpeg

😂😂😂😂😂😂
Mimi ni mmoja wa watu ninaokubali kabisa kuwa Manara alikuwa 'very unprofessional' mara nyingi sana. Na hata hiyo nafasi nimewahi Shauri Sana atolewe ..yeye na Jerry Muro niliwahi shauri watolewe wote huko nyuma.


Naweza sema Mimi sio mshabiki wa Manara lakini baada ya hili sakata. Nimegundua kitu kwa watu aina ya Manara...
Pascal Mayalla huwa anasema watu aina ya Manara 'wana hidden power'..

Hiki ndo nimekiona kwa Manara na naamini Mo hataweza kabisa kumzima Manara. Ukimtazama Manara anapoongea na historia yake yote utagundua kitu kimoja.

'passion'
Huoni 'Proffesionalism'..
Huoni 'ethics'
Huoni 'unafiki wala woga'
Manara siku zote amekuwa Manara
Anaishi kwa sheria zake ..lakini most important ana enjoy ushabiki wake..

Wanaosema nafasi ile inahitaji mtu more Proffesional wako sahihi lakin wanasahu kitu kimoja Tu..je mangapi hatuyafanyi ki Proffesional?
Wananchi watazoea hiyo Proffesionalism inayozungumzwa?
Utamaduni wetu na timu zetu za Kariakoo
Unaruhusu 'Proffesionalism' hiyo?

Au tunasahau na mashabiki wetu na mpira wetu watu kama Manara ndo haswaa wanazalishwa na kupendwa zaidi..?Pengo la Manara likijitokeza tutawapa nini mashabiki?

Manara alikuwa shabiki mkuu wa Simba zaidi kuliko mfanyakazi wa Simba.

Alikuwa maarufu kuliko yeyote Simba.

Hakupata hiyo kazi kwa kuomba.

Aliombwa.

Why watu wamtarajie aje a behave kama muajiriwa mwingine?

Bado atabaki shabiki mkuu wa Simba kuliko Mo hata kama hana title official hapo Simba.

Watu wenye passion na wako genuine bila kujali risks za kuwa open na genuine na wanayo ongea mara zote hushinda vita.

Manara ukimsikiliza anapoongea utaona.

Anaongea kama mshabiki na sio kama muajiriwa hajali lolote mradi anausikiliza moyo wake..Mo hatamuweza Manara..
 
Simba imeshinda Away Nigeria, Imeshinda Congo na huko ilikuwa na Mashabiki Mechi ya El Marreikh mashabiki walikuwepo uwanjani ????....Simba ipo hapo ilipo hivi sasa kwa sababu ya Qualify yake kuanzia Coach ,Technical bench, Player's na Uongozi collectively .

Timu inalindwa kwa pesa , Matokeo ya uwanjani na Vikombe sio kelele za Haji Manara.

Timu ina dead players kama Sarpong, Fiston ,Nchimbi, Yacouba ,Lamine umwambie mashabiki aende uwanjani atakuelewa??? Atakuona mwehu..

Chama, Bwalya, Miquissone, Morriston, Mugalu ,Lwanga,Kagere, Joash ,Aishi Nenda kaokote wachezaji kama Yanga harafu utumie mdomo wako kupiga kelele kama utapata Matokeo.
Jiulize hizo timu mlizozifunga away zilikuwa na mashabiki?
Msijitoe ufahamu, home games advantage yake ni mashabiki. Ushabiki kwenye mchezo wa soka ni element muhimu kama ilivyo benchi la fundi, uongozi na wachezaji.
Siyo kwa sababu Leo manara kaongea mbovu basi ndio mjitoe akili.
Wachezaji wazuri nao wanahitaji vitu vingi behind the scenes.
 
Jiulize hizo timu mlizozifu ga away zilikuwa na mashabiki?
Msijitoe ufahamu, home games advantage yake ni mashabiki. Ushaniki kwenye mchezo wa soka ni element muhimu kama ilivyo benchi la fundi, uongozi na wachezaji.
Siyo kwa sababu Leo manara kaongea mbovu basi ndio mjitoe akili.
Wachezaji wazuri nao wanahitaji vitu vingi behind the scenes.
Kila mtu abaki na anacho kiamini kwenye Akili yake.Tuishie hapo tu.
 
Tukubali Manara kuna level alishafika huwezi kummaliza kirahisirahisi bila kupasua club. Kudeal na mtu kama Manara ni rahisi sana ila si kwa kumuundia skendo mbuzi.

Kitakachotokea ni kuvurugana na kutoaminiana na hapo mwisho wake ni MO kujitoa.

Kwa ufupi bila suluhu Simba haitobakia kama ilivyokuwa maana MO mwenyewe hana ngozi ngumu! Kama viongozi wa Simba wangeweza kufocus kwenye malengo yao na kuachana na kelele za Manara tungetoboa lakini sio hilo likitokea zaidi ya malumbano ambayo Haji atashinda tu.
Hakuna kiongozi wa simba atakae mjibu manara ataongea mpaka achoke
 
Back
Top Bottom