Kwanini mpaka sasa ratiba ya nusu fainali ya CAFCL haijatoka?

Kwanini mpaka sasa ratiba ya nusu fainali ya CAFCL haijatoka?

Hahaha. Kuna shabiki wa Yanga kama watoto wa mwisho. Wanapenda attention kweli. Hili tukio unaweza dhani ndo mara ya kwanza kutokea Africa na duniani.
 
Hii game kama ikirudiwa Timu Yangu Young Africans inakwenda kupoteza, hivi italeta maneno sana huku mtaani.
 
Hahaha. Kuna shabiki wa Yanga kama watoto wa mwisho. Wanapenda attention kweli. Hili tukio unaweza dhani ndo mara ya kwanza kutokea Africa na duniani.
kutokea mara nyingi si kigezo cha kukaliwa kimya.
 
Nyota njema huonekana asubuhi. Mpaka Sasa Caf hawajapanga tarehe ya nusu fainali ya club bingwa Africa. Hii inaashilia barua ya Yanga inafanyiwa kazi.

Mungu si Athuman, lolote laweza kutokea.
Kitambo sana imeshatoka na tiketi zimeshaisha.
 
Hii game kama ikirudiwa Timu Yangu Young Africans inakwenda kupoteza, hivi italeta maneno sana huku mtaani.
Mechi haiwezi kurudiwa, uwezekano uliopo ni walio simamia mchezo kuadhibiwa.

maana maamuzi yanahusisha vitu vingi pia itahusisha mpaka ripoti ya msimamizi wa kituo, ripoti ya Marefa waliochezesha n.k
Upo pia uwezekano Yanga kuendelea na mashindano na
Mamelodi kutupwa ila kulingana na mazingira yalivyo ni nafasi ndogo Sana kwakua soka letu Bado halijafikia fair play ya namna iyo kulingana ushawishi wa timu waliyocheza nayo.
Labda Mungu aingilie kati.
 
maana maamuzi yanahusisha vitu vingi pia itahusisha mpaka ripoti ya msimamizi wa kituo, ripoti ya Marefa waliochezesha n.k
Upo pia uwezekano Yanga kuendelea na mashindano na
Mamelodi kutupwa ila kulingana na mazingira yalivyo ni nafasi ndogo Sana kwakua soka letu Bado halijafikia fair play ya namna iyo kulingana ushawishi wa timu waliyocheza nayo.
Labda Mungu aingilie kati.
Unadhani mechi nzima ikichunguzwa ili hilo neno fair litafutwe kwa 100% ni tukio la Aziz K tu ndo litaonekana si Fair? Ile faulu tu ambayo refa aliamua kufunika kombe kuna marefaree ni straight red card na huna namna ya kuwahukumu kuwa wamekosea.
 
Screenshot_20240409-160833.jpg
 
Mpaka Sasa Caf hawajapanga tarehe ya nusu fainali ya club bingwa Africa
Hawa ni CAF:

Al Ahly, Mamelodi Sundowns, Esperance and TP Mazembe advance to TotalEnergies CAF Champions League Semis​



The semis will be played on home and away basis on 19-20 April 2024 (first leg) with the Second Leg scheduled for 26-27 April 2024.



In the first semi-final, Al Ahly (Egypt) will play TP Mazembe (DR Congo) in what promises to be a thrilling encounter. Esperance Sportive de Tunis will play Mamelodi Sundowns in the second semi-final.



 
Nyota njema huonekana asubuhi. Mpaka Sasa Caf hawajapanga tarehe ya nusu fainali ya club bingwa Africa. Hii inaashilia barua ya Yanga inafanyiwa kazi.

Mungu si Athuman, lolote laweza kutokea.
Wanaulizana na kutafakari Azizi Funguo ni nani😁
 
IMETOKA

MECHI ZITACHEZWA TAREHE 19 NA TAREHE 20.

Ila Unajaza serva za Jamii Forum.
 
Koroma ila usijipe uspecial. Hakuna uspecial wowote kwa kilichokukuta, si mara ya kwanza na haitakuwa mara ya mwisho dunia ya soka kushuhudia matukio yanayotafsiriwa kama uonevu kwa aliepoteza.
mkuu una uwezo mdogo sana wa uelewa na kufikiria.
 
Mtoa hoja nenda kajisomee tena sheria no 10 inayohusiana na uhalali wa goli then uje utoe maoni humu na pili je physics inaruhusu mpira uingie ndani ya goli na uruke nje ya goli bila ya kugusa nyavu?
 
Back
Top Bottom