muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,614
- 1,202
Mashujaa 1 ,paka 0Nyota njema huonekana asubuhi. Mpaka Sasa Caf hawajapanga tarehe ya nusu fainali ya club bingwa Africa. Hii inaashilia barua ya Yanga inafanyiwa kazi.
Mungu si Athuman, lolote laweza kutokea.