Kwanini Mpiga Solo Gitaa hatari Nene Tchacou hakuimbwa sana kama Wenzake Diblo Dibala na Dally Kimoko?

Samahani, kwenye wimbo wa Billi wa Kanda Bongo Man nani atalaku mule!?
 
Yule Aliyecharaza Gitaa kwenye Wimbo wa Biliii ni Hatari sana Sijui ni Nani?
 
Yule Mwamba Anajua kucharaza Gitaa Aissseeee Hapa nipo zangu nasikiliza Ile Na Muchana Aaaii Lemisile🔥🔥
Hakuna mpiga gitaa aliyeshiriki nyimbo nyingi na kuitendea haki style ya soukous kumzidi Nene Tchakou, jamaa gitaa lake ni la kipeke yake wala staili yake hafananii na wapiga gitaa wengine. Alain kounkou, Damien Aziwa, Yondo Sister, Bongo Man Ngouma Lokito, 3615 Code Niawu, Nene Tuty, Aurlus Mabele, n.k kuna mikono.
Kwenye upande wa soukous Nene tchakou ni mkali zaidi ya wote, kwenye upande wa sebene Diblo dibala ni habari nyingine kwangu ndio mpiga gitaa bora zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…