Kwanini Mrisho Mpoto havai viatu?

Kwanini Mrisho Mpoto havai viatu?

Nikiwa na yf k' koo, yf alishtuka kumuona Mpoto anapekua!
Baadae nilikutana nae Airport anaenda Uingereza, alivaa suti nadhif lkn chini peku peku!
Ni kweli jamaa ni peku peku!

Si kwl tunaomjua tunampuuza
 
Wana ukumbi kuuliza si ujinga kwani ukipata jibu ndio kuongeza wigo ki maarifa,huyu msanii wa mashahiri Mrisho Mpoto ni sababu gani havai viatu?
 
Wana ukumbi kuuliza si ujinga kwani ukipata jibu ndio kuongeza wigo ki maarifa,huyu msanii wa mashahiri Mrisho Mpoto ni sababu gani havai viatu?

Ndiyo alivyopanga kwenye shooting zake,
kutokuvaa viatu ili aonekane wa asili zaidi..
 
Kwasababu Miguu yake ina Sagamba za kutosha ambapo hata akikanyaga Msumari unapinda.
 
hahahahaaaaaaaaaa!! sikujua hayo, anatangaza afya bora kwa watu halafu yeye anaruhusu hookworms waingie watakavyo?
 
Ni leo tu kwa ajili ya umuhimu wa KATIBA YA SITAamesahau nyumbani,nafikili Sita kesho mkae tena mzungumzie haki ya mtu asiye na kiatu kama Mboto.Posho atalipa KOMBA na shibuda
 
Havai kwenye video zake tuu na kwenye baadhi ya matukio anayokuwapo. Ukikutana nae kariakoo utamkuta na viatu.
 
Back
Top Bottom