Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Azam Tv watatangaza bidhaa za Simba , lakini ambaye atangaza si msemaji wa club ya Azam, atakuwa ni mtu mwingine ambae hana cheo chochote kwenye club ya Azam FC.Nimekuuliza "ina maana Azam TV hawawezi kutangaza bidhaa za Simba?" Sasa habari za mara Yanga, mara mfanyakazi zinatoka wapi?