Kwanini msemaji wa Club ya Simba anatangaza bidhaa za pinzani kibiashara? Inawezekana vipi?

Hoja yako ya fremu ni irrelevant na ndio maana nikakuambia tofautisha kati ya Azam na Azam FC!! Wewe umehoji ikiwa Yanga (timu) inaweza kupanga fremu za Simba ( mali ya timu) wakati hapa ni Haji kutangaza biashara za kampuni ya Azam na sio Azam FC!! Na ndio maana nikakuambia tofautisha kati METL na Simba FC kwa sababu Mshindani wa Azam (kampuni) ni METL na sio Simba FC; na huyo Manara ni Mwajiriwa wa Simba na sio Mwajiriwa wa METL!!

Tatizo lenu mnachukulia Simba na Mohamed Enterprises ni kitu kimoja wakati sio!!!
 
Unachohoji ni: Yanga SC vs Simba SC, wakati mada ni Haji Manara (sio Simba) vs Azam Ltd (sio Azam FC)
Zote ni clubs na brand pia,,

Umetoa mfano wa TV na matangazo ya simba.
Ndy nikakwambiya unaweza kufunguwa frem jangwani au msimbazi?
Ukaweka frem za kuuza jezi ya mpinzani wako?

Manara nje ya brand ya simba ni sawa na mtungi mtupu bila gesi,,

Hayo matangazo anayoyafanya yameletwa na brand ya simba.
Sasa leo utamtofautishaje na simba?

tuone kesho akiwa sio msemaji kama atakuwa na mvuto wa kutangaza hata chapati kwa shishi baby.
 
We unadhani mo haioni potential ya Manara kimatangazo

Usikute wanatafuta namna ya kumtoa hawamtaki

Sasa haji afe njaa kisa Simba

Haji hamia Yanga kabisa babako na mwanao Ni Yanga achana na mikia
Haondoke tu, Hatumuhitaji manara
 
Azam Tv watatangaza bidhaa za Simba , lakini ambaye atangaza si msemaji wa club ya Azam, atakuwa ni mtu mwingine ambae hana cheo chochote kwenye club ya Azam FC.
Sasa habari za Azam FC zinatoka wapi tena wakati zimezungumzia Azam TV?! Au ndo yale yale; mnadhani Mohamed Enterprises na Simba SC ni kitu kimoja, na kwa upande mwingine mnadhani Azam FC na Azam ni kitu kimoja!!!!
 
Sasa kwani Azam ni mpinzani wa Simba au wa Mohamed Enterprises?! Mbona mnachanganya mambo?! Mpinzani wa Simba SC ni Azam FC na sio Azam!!! Na Mpinzani wa Azam ni Mohamed Enterprises na sio Simba SC!!! Na Mwajiri wa Manara ni Simba na sio Mohamed Enterprises!!
 
Sasa habari za Azam FC zinatoka wapi tena wakati zimezungumzia Azam TV?! Au ndo yale yale; mnadhani Mohamed Enterprises na Simba SC ni kitu kimoja, na kwa upande mwingine mnadhani Azam FC na Azam ni kitu kimoja!!!!
Hawa wana relation mzee, kwani huoni majina, Azam Tv na Azam FC ni ndugu ,
 
Hawa wana relation mzee, kwani huoni majina, Azam Tv na Azam FC ni ndugu ,
Ngoja niongee lugha yako:Azam TV na Azam FC ni ndugu! Kwahiyo unataka kusema Mohamed Enterprises na Simba SC na wenyewe ni ndugu?!
 
Umezingua, hata kama ni account binafsi,
Huyu anafaa kufukuzwa kazi anahihujumu timu,
Hahahaa. Hujawahi kuona Real Madrid inadhaminiwa na Adidas lakini CR7 akitangaza bidhaa za Nike?
Ni hivi, kwenye matukio rasmi ya club wafanyakazi wote wa club (hata kwenye utambulisho wa wachezaji wapya hao wachezaji wapya) lazima wasitangaze kwa namna yoyote bidhaa za kampuni pinzani (hata kuvaa nguo tu au kuitaja). Lakini kwenye shuhuli binafsi za mfanyakazi anaruhusiwa kufanya kazi na yeyote hata kampuni pinzani za wadhamini wa club.
 
Manara anatumia brand ya simba kwa manufaa binafsi..

Asipofungwa speed governor huenda kesho akaibukia na matangazo mengine...

Fully stop..

Kama anataka kufanya matangazo basi atuachie timu yetu.
Kama ni kubwabwaja hakuhitaji degree za kubwabwaja hovyo mitandaoni,,
Wapo watu kibao,,,wabwabwajaji.
 
Yaani kabisa unapoteza nguvu kuwaelewesha hao? Watakuumiza kichwa.
 
Mpinzani ni timu yoyoye iliyopo kwenye ligi moja,,
.au Azam ni tawi la simba?
 
Manara ameshachokwa hapo simba na yeye kuna vitu amevichoka pia....shida ni kwamba akitoka hapo hawezi kuapata kazi ya usemaji kwa sababu yeye ameshjibainisha si msemaji tuu bali mpenzi, mshabiki na mfukutwa wa simba na kazi yake hajaipata kwa sababu ya weledi hasha ila kwa sabbu kwanza ni mnazi wa simba hivyo hawezi kupata au kufanya kazi yyte ya kimichezo nje ya simba....
Mo kumuondoa anamvuti kasi akitafakari reaction ya wanasimba lialia itakuwaje.....muda utaaamua.....
 
ujuaji mwingine hauna maana mleta uzi; umesema icho kitu ni nadra kwenye nchi zilizoendelea kitu ambacho sio cha kweli...
mbon messi yupo barcelona na barcelon inadhaminiwa na nike lkn yeye anavaa adidas...
ronaldo je anatangaza nike wakt tim inadhaminiwa na adidasi...
vitu ivyo ni vya kawaid kweny biashara ya michezo boss..
 
Anatumia brand ya Simba kwa manufaa yake binafsi kivipi?! Ina maana anahamasisha mashabiki wa Simba huku akitumia kofia yake ya Usemaji wa Simba ili mashabiki wanunue hizo nazi, au?!
 
Owner wa Azam fc ni nani?

S.s bakhresa ana company zaidi ya 30,, na hyo Azam media ni moja ktk company zake,,,,sasa utatofautishaje Azam media na Azam companies?

Tatizo letu watanzania ni pale,, kila mwananchi kujifanya mjuwaji na kugeuka mwanasheria uchwara.

-- all those companies are owned by s.s.bakhresa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…