rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Kati ya sajili bora zilizowahi kufanywa Tanzania ni ya yule kiungo wa Simba toka Sudan, lakini cha kusikitisha inasemekana mkataaba wake ni wa mwaka mmoja. Hivi viongozi wa Simba wakati wanamsajili hawakuwa na uhakika na uwezo wake na kama hawakuwa na uhakika na uwezo wake nawashauri wampe mkataba mrefu zaidi mwishoe ataishia kuondoka kama mchezaji huru maana kwa kiwango chake ni wazi timu nyingi zitammezea mate