Hao akina Aggrey,Ngoma, Chirwa, Mudathri ni wageni hapo Azam?.. mbona wanafungwa hadi na Yanga mbovu.Al Ahly ya Sudan timu kubwa wapi..Ulimwengu angevunja mkataba??Zesco walicheza nusu fainali CAF Champions league nayo ni timu kubwa?timu kubwa ni zile nane tu ambazo hazichezi raundi ya Kwanza CAF...mmecheza na Azam nusu angekuwepo Aggrey Mudathir,Nado,Chirwa angeanza,Ngoma shughuli ingekuwa ngumu kwa msudan mweusi ..jamaa kila mechi anapiga chenga za kizamani za Zidane..ndio maana Sudan hawafuzu AFCON
Jamaa katokea Al-Hilal Acha kudanganya watuAl Ahly ya Sudan timu kubwa wapi..Ulimwengu angevunja mkataba??Zesco walicheza nusu fainali CAF Champions league nayo ni timu kubwa?timu kubwa ni zile nane tu ambazo hazichezi raundi ya Kwanza CAF...mmecheza na Azam nusu angekuwepo Aggrey Mudathir,Nado,Chirwa angeanza,Ngoma shughuli ingekuwa ngumu kwa msudan mweusi ..jamaa kila mechi anapiga chenga za kizamani za Zidane..ndio maana Sudan hawafuzu AFCON
Yupi huyo au unamaanisha lile simtank?
hiyo njemba haiwezi kuwa na miaka 26 au hata 30, atakuwa na Zaidi ya miaka 35Sharaf Eldin Shiboub ana miaka 26
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti simtank.Yupi huyo au unamaanisha lile simtank?
Ni nani alizuia wasipangwe? Kama wao ni hatari si wangechukua ubingwa msimu uliopita?Al Ahly ya Sudan timu kubwa wapi..Ulimwengu angevunja mkataba??Zesco walicheza nusu fainali CAF Champions league nayo ni timu kubwa?timu kubwa ni zile nane tu ambazo hazichezi raundi ya Kwanza CAF...mmecheza na Azam nusu angekuwepo Aggrey Mudathir,Nado,Chirwa angeanza,Ngoma shughuli ingekuwa ngumu kwa msudan mweusi ..jamaa kila mechi anapiga chenga za kizamani za Zidane..ndio maana Sudan hawafuzu AFCON
Hajui tofauti ya Al Ahly na Al Hilal.Mwache apayuke.Jamaa katokea Al-Hilal Acha kudanganya watu
Ulikuwa mkunga alipozaliwa?. Umri wake umeandikwa miaka 26 wewe unabisha!!!Tuambie amezaliwa hospitali gani inaelekea unamfahamu kuliko anavyojifahamu yeye mwenyewe.hiyo njemba haiwezi kuwa na miaka 26 au hata 30, atakuwa na Zaidi ya miaka 35
Profile yake ndio inasoma hivyo sio mimi.. wewe tuambie hiyo 30-35 umeitoa wapi?hiyo njemba haiwezi kuwa na miaka 26 au hata 30, atakuwa na Zaidi ya miaka 35
Akikujibu hiyo mwambie akutajie umri wa moringaProfile yake ndio inasoma hivyo sio mimi.. wewe tuambie hiyo 30-35 umeitoa wapi?
Wao yao hawayaoni,.. Moringa hata akiwa U23 ana msaada gani kwenye kikosi?Akikujibu hiyo mwambie akutajie umri wa moringa
Km wale wabrazil nao wamepewa miaka mingapi kwani?Swali dogo la nyongeza, Yule PEPSI BIG a.k.a falcao wa chura amesajiliwa Kuitumikia timu Hiyo Kwa Miaka mingapi?? Analipwa shilingi ngapi??
Jamaa akikujibu nitag watu wengine utafikiri wamekunywa maji ya choonHao akina Aggrey,Ngoma, Chirwa, Mudathri ni wageni hapo Azam?.. mbona wanafungwa hadi na Yanga mbovu.
Hizo timu 8 ambazo hazichezi First round CAF CL ni zipi? (zitaje)
Wewe haujui chochote kuhusu club bingwa ila sio kosa lako ,Yanga hawajui club bingwa ni nini maana mnatolewa round ya kwanza na kwa taharifa yako club mbili tu ndio hazichezi mechi za awali Experence na MazembeAl Ahly ya Sudan timu kubwa wapi..Ulimwengu angevunja mkataba??Zesco walicheza nusu fainali CAF Champions league nayo ni timu kubwa?timu kubwa ni zile nane tu ambazo hazichezi raundi ya Kwanza CAF...mmecheza na Azam nusu angekuwepo Aggrey Mudathir,Nado,Chirwa angeanza,Ngoma shughuli ingekuwa ngumu kwa msudan mweusi ..jamaa kila mechi anapiga chenga za kizamani za Zidane..ndio maana Sudan hawafuzu AFCON
Hayo majina ya wachezaji wa azam hawakucheza Azam alipokufa goli tatu taifa ,usijidanganye azam ataendelea kufungwa kwa goli tatu na kuendeleaAl Ahly ya Sudan timu kubwa wapi..Ulimwengu angevunja mkataba??Zesco walicheza nusu fainali CAF Champions league nayo ni timu kubwa?timu kubwa ni zile nane tu ambazo hazichezi raundi ya Kwanza CAF...mmecheza na Azam nusu angekuwepo Aggrey Mudathir,Nado,Chirwa angeanza,Ngoma shughuli ingekuwa ngumu kwa msudan mweusi ..jamaa kila mechi anapiga chenga za kizamani za Zidane..ndio maana Sudan hawafuzu AFCON
Wewe utakuwa unamatatizo muone dr mapema Simba kwenye usAJILI pale ndio walipo fanya vizuri kwenye wachezaji wote wa njehana lolote mechi na azam alibahatisha ataflop muda si mrefu
Mudhari Yahaya Abass hakuwepo Simba mngepata tabu sana yule ndie kiungo bora hapa Tanzania sema waandishi wanaangalia yanga na simba tuHayo majina ya wachezaji wa azam hawakucheza Azam alipokufa goli tatu taifa ,usijidanganye azam ataendelea kufungwa kwa goli tatu na kuendelea
Kiungo bora wa mwaka gani.?. huyu aliyekosa namba Azam akaenda mkopo singida utd.Mudhari Yahaya Abass hakuwepo Simba mngepata tabu sana yule ndie kiungo bora hapa Tanzania sema waandishi wanaangalia yanga na simba tu