Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ww n mzazi umayedekeza....na mtoto wako ni junior au queenKwanini mtoto wako ukimwambia alale chini au anyonyooshe mikono umchape anakaidi lakini mwalimu wake akisema afanye kitu au achapwe fimbo tano bila kufuta na inawezekana?
atakua huyo wa kwako tu,Kwanini mtoto wako ukimwambia alale chini au anyonyooshe mikono umchape anakaidi lakini mwalimu wake akisema afanye kitu au achapwe fimbo tano bila kufuta na inawezekana?
@Mpwayungu Village amekaa zake Hana hili wala lile, kwa hali isiyo ya kawaida mara paap! anauona uzi kama huu.Mnaanza kumchokoza Mpwayungu hivihivi?Ngoja tuone.
waalimu ni wakatili sana, ndio maana huwa hawafanikiwi maishani. wamejaa roho mbaya na wivu tu. wachache sana wanafundisha watoto kwa moyo, zaidi sana hao watoto ni sisi wenyewe tunawasaidia majumbani, ndio maana huwa wanawapa hata homework maeneo ambayo hawajafundisha, ati watoto wakafanye homework. wanachapa watoto sana.Kwanini mtoto wako ukimwambia alale chini au anyonyooshe mikono umchape anakaidi lakini mwalimu wake akisema afanye kitu au achapwe fimbo tano bila kufuta na inawezekana?
Ushawahi kufundisha?waalimu ni wakatili sana, ndio maana huwa hawafanikiwi maishani. wamejaa roho mbaya na wivu tu. wachache sana wanafundisha watoto kwa moyo, zaidi sana hao watoto ni sisi wenyewe tunawasaidia majumbani, ndio maana huwa wanawapa hata homework maeneo ambayo hawajafundisha, ati watoto wakafanye homework. wanachapa watoto sana.