mimi binafsi naona; unakufa kwa sababu binadamu wa kawaida huwezi kula dawa daily...zinajijenga ndani ya mwili, na sio Arv tu kun best yangu ameugua ukichaa anatumia dozi,ambayo ankunywa daily mwaka wa 3 sasa na sio chini ya dawa tano kwa siku
sasa anapotumia akili inatulia anafanya mambo yake kawaida anafanya kazi na huwezi kujua chochote, kosa aziache ukichaa unarudi mara2
nahisi ni kwasababu dawa zimejijenga mpaka zimeshakua mfumo wa mwili sasa, bila zenyewe huwezi
kwahiyo;
zile dawa ni sawa n chakula,kwasababu unapozinywa kila siku zinaenda kuwa moja ya basic need kwa mgonjwa kwamba akikosa, kwa muda fulani kama vile ukikosa chakula ndani ya week labda unakufa.