Makosa
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 1,183
- 2,622
Nimejiuliza maswali mengi sana Ila sijapata jibu, Luna kijana tumemzika leo kwa bahati mbaya alikuwa ni HIV Positive na alikuwa anatumia hizi dawa lakini baada ya kuona amekuwa na afya nzuri aliamua kuacha kimya kimya mpaka ilipokuja kugundulika.
Sasa swali langu wataalamu hizi dawa zina kitu gani kinachofanya mtu aliyezikacha afe ghafla?
Sasa swali langu wataalamu hizi dawa zina kitu gani kinachofanya mtu aliyezikacha afe ghafla?