Unajutia kwamba umepoteza nini, energy au sperm?, au hela au sabuni, ama kiganja kimeuma?Kwanini Mtu anapomaliza kupiga NYETO (Kujichua) anaanza kujutia kwa kitendo hicho?
Habari wadau tushirikishane suala hili kwanini inatokea hivyo?
Uzi huu isifutwe majibu ya hapa yatasaidia wasomaji na walio katika hali hii kwa muda mrefu au wanatamani waanze
Hahahaha..duhni wewe tu ndo unaejutia kuna watu ndo kwanza wanavuta hisia wapge tena
itakua n mgeni kwenye tasnia yyHahahaha..duh
πππKwa sababu majuto ni mjukuu, na mjukuu mwenyewe ndio huyo ushamuulia mzazi wake.
Hapa naanza elewaJe ukifanya uzinzi huwa haujutii?
Macho ya kuingia guest house na macho ya kutoka guest house unahisi yanafanana?
Maana yake ROHO huwa haipendi uchafu wa aina yoyote bali mwili ni dhaifu Sana.
Wengi husema kwa kitendo walichofanya .Unajutia kwamba umepoteza nini, energy au sperm?, au hela au sabuni, ama kiganja kimeuma?