Witch hunter
JF-Expert Member
- Nov 21, 2018
- 2,106
- 5,806
Mimi ni moto mwingine, chezea hao unaochezeaga sio Mimi.Endelea tu kujaa katika 18 Mkuu sawa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni moto mwingine, chezea hao unaochezeaga sio Mimi.Endelea tu kujaa katika 18 Mkuu sawa?
Ningekuona wa maana kwa hivi unavyotamba Kitoto kama ungenitukana kisha tuone baada ya muda nini kingejiri sawa?Mimi ni moto mwingine, chezea hao unaochezeaga sio Mimi.
Utoto raha sana.Mbona leo umekuja Kiheshima sana isivyo kawaida yako? Si huwa unajifanyaga Kunitukana? Tena kuwa makini sana Ok?
aidha, kwasababu huwa anaona wanajifanya kufanana naye, au anaona wamemzidi akili hivyo anaona wivu au pengine anaona aibu kufanana nao au anaamini wamemuambukiza ukilaza, au anajiona yupo bora kuliko vilaza wanaomzunguka.huwa nashangaa kumuona kilaza akiwachukia vilaza wenzie... Au mwizi anamchukia mwizi mwenzie mfano mwendanzake aliwachukia vilaza ila yule mzee alikuwa kilaza kwelikweli..
Umejiandaa kwa BOKO lakini?mtagi tu mkuu si huyu apa GENTAMYCINE
Ni kama vile mtu masikini anavochukia wenziehuwa nashangaa kumuona kilaza akiwachukia vilaza wenzie... Au mwizi anamchukia mwizi mwenzie mfano mwendanzake aliwachukia vilaza ila yule mzee alikuwa kilaza kwelikweli..
boko john au au boko haramUmejiandaa kwa BOKO lakini?
😂😂unataka kukataa..? unataka kukataa..? 😂😂Nimecheka sana, mdogo Angu
😂😂😂😂 ngoja tuendelee kujifukiza mkuuNinakuonya kuwa makini sana kuna Wapuuzi wenzako niliwaonya kama Wewe hivi hawakusikia sasa wako Nyavuni BAN.
Bokoboko mkuuboko john au au boko haram