Kwanini mume wa Rais Samia Suluhu hajaambatana na mkewe ziarani Kenya?

Kwanini mume wa Rais Samia Suluhu hajaambatana na mkewe ziarani Kenya?

ndio maana tunashindwa kushindana kibiashara kwa sababu uwezo wetu wa kufikiria umejikiti kwenye vitu visivyo na tija!!!

kuna mambo ya msingi mengi tu yenye faida ya kujadili yaliyo tokana na ziara ya Mhe. Rais. wakenya wanajadili namna sasa ya kutumia fursa za kibiashara zilizo funguka, sisi tunajadili mambo yasiyo na tija!!!

tujitafakari, huenda pia ndio sababu inayo tufanya tubakie nyuma.
 
Yaani mkuu unakaa na kuja na mada kama hii, kweli middle class ya watanzania ni changamoto sana,huwezi jua labda hataki kuwa public figure, labda anaumwa,l abda ana pilika zake zingine, labda amesafiri ila ameamua kuwa out of press etc etc.
Umenena vyema mkuu, sijui amesikia ana lalamika kuwa ameachwa na mkewe?
 
Kuwa mwislamu Raha Sana, yaan jamaa ana mbunye za kutosha tuu yaan, Sisi kwetu unaitwa mzinzi na kanisan unatengwa , Ila wanaokutenga sasa wanapigana miti kisiri Siri. I wish I could be a Muslim in jiwe's voice.
Hahhahaha nyie huko mtaa wa pili kumejaa unafiki wa kiwango cha stiegler gorge! Yani baba paroko anatafuna kondoo ila wewe mwenye mke huruhusiwi kubadili mboga
 
Wakati Rais amefanya ziara yenye kujadili mustakabali wa kibiashara baina ya raia wa nchi hizo mbili, raia wake anafungua mjadala wa kuulizia habari za kwanini hajaambatana mmewe!!!. PATHETIC!
 
Mara nyingi viongozi wafanyapo state visits wanakuwa na wenza wao wa ndoa. Ziara ya Rais Samia ya siku 2 nchini Kenya imeonesha picha ya couples wakati wa state banquet, lakini kwa upande wa Tanzania pamepwaya. Je, kuna tatizo?

Endapo mume wa Rais Samia angeonekana, wakati Marais wanaongelea masuala ya nchi, wenza wao wangekuwa pamoja wakiwangoja wenza wao ambao ni Marais?

sukuma gang hawana jipya maza kawapoteza mazima
 
Waeza kuta baba yetu ni kiwembe akiachwa na hao wake za viongozi wengine yaweza tokea shida so bora kuepusha shari kuliko shari kamili... Mara Paap First Gent kaonekana Kisarawe kwa Dc Kivumbi lazima kiwake
 
Mara nyingi viongozi wafanyapo state visits wanakuwa na wenza wao wa ndoa. Ziara ya Rais Samia ya siku 2 nchini Kenya imeonesha picha ya couples wakati wa state banquet, lakini kwa upande wa Tanzania pamepwaya. Je, kuna tatizo?

Endapo mume wa Rais Samia angeonekana, wakati Marais wanaongelea masuala ya nchi, wenza wao wangekuwa pamoja wakiwangoja wenza wao ambao ni Marais?

Mbona wewe hujaambatana na mume wako kuandika uzi huu!
 
Mara nyingi viongozi wafanyapo state visits wanakuwa na wenza wao wa ndoa. Ziara ya Rais Samia ya siku 2 nchini Kenya imeonesha picha ya couples wakati wa state banquet, lakini kwa upande wa Tanzania pamepwaya. Je, kuna tatizo?

Endapo mume wa Rais Samia angeonekana, wakati Marais wanaongelea masuala ya nchi, wenza wao wangekuwa pamoja wakiwangoja wenza wao ambao ni Marais?

Mwaka 2021-2025 maswali ni mengi kuliko majibu.
 
Honorable Hafidh Ameir Bila Shaka Anaendelea Kulijenga Taifa Upande Mwingine Huko
 
Nenda wewe ukawe mumewe wabongo bhan tuna vijimambo vya ajabu ajabu tuu.umekaa na kuandika utopolo wako huu,
 
Mara nyingi viongozi wafanyapo state visits wanakuwa na wenza wao wa ndoa. Ziara ya Rais Samia ya siku 2 nchini Kenya imeonesha picha ya couples wakati wa state banquet, lakini kwa upande wa Tanzania pamepwaya. Je, kuna tatizo?

Endapo mume wa Rais Samia angeonekana, wakati Marais wanaongelea masuala ya nchi, wenza wao wangekuwa pamoja wakiwangoja wenza wao ambao ni Marais?

Anaambatana na Mkeo huko..
 
Yaani mkuu unakaa na kuja na mada kama hii, kweli middle class ya watanzania ni changamoto sana,huwezi jua labda hataki kuwa public figure, labda anaumwa,l abda ana pilika zake zingine, labda amesafiri ila ameamua kuwa out of press etc etc.
Hakuna Ubaya wa hili swali, couples mara nyingi hucheza kwenye soft diplomatic issue. Mzee anakumbuswa na couple baadhi ya mambo muhimu asiya sahau.
 
Mwanaume anayemfuata Mwanamke nyumanyuma hata watoto nyumbani wanamdharau sana.

Hongera Country Boy
 
Mara nyingi viongozi wafanyapo state visits wanakuwa na wenza wao wa ndoa. Ziara ya Rais Samia ya siku 2 nchini Kenya imeonesha picha ya couples wakati wa state banquet, lakini kwa upande wa Tanzania pamepwaya. Je, kuna tatizo?

Endapo mume wa Rais Samia angeonekana, wakati Marais wanaongelea masuala ya nchi, wenza wao wangekuwa pamoja wakiwangoja wenza wao ambao ni Marais?


Ameamua akaye nyumbani kama Magufuli alivyokuwa anafanya. Tujikite kwenye maendeleo badala ya mahusiano ya watu
 
Kuwa mwislamu Raha Sana, yaan jamaa ana mbunye za kutosha tuu yaan, Sisi kwetu unaitwa mzinzi na kanisan unatengwa , Ila wanaokutenga sasa wanapigana miti kisiri Siri. I wish I could be a Muslim in jiwe's voice.
Wewe jamaa ni kiboko, eti unatengwa hah haha
 
Back
Top Bottom