SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
Maneno ya Mungu umeyaskia au umesoma hadithiMsiogope waangamizao mwili wasiweze kuiagamiza roho, Bali mwogopeni awezaye kuiangamiza roho pamoja na mwili.
Ni maneno ya MUNGU mwenyewe.
Sasa kwanini useme roho haiwezi kufa ikizaliwa wakti Yupo awezaye kuiangamiza?
Mtu akiota ndoto anaota mawazo yake hamna kitu Kama kuoteshwa. Haya mambo ndo watu walipigwa huko uarabuni na dini ikaanzaHakuna mtu anaongea na Mungu live.
Labda ndotoni (aoteshwe ndoto) tena kupitia malaika na siyo Mungu mwenyewe.
Na kwenye hili la kuoteshwa pia wengi watupiga sana (wanatudanganya)
Hao watoto wanakuwa na mantiki nzuri kwa sababu hawajafundishwa uongo kwa muda mrefu.Mtoto wangu (5) aliwahi niuliza ... Hivi baba Kwa Nini Mungu anamwacha Shetani atutese! Si angemmaliza tuu!? Tafakuri nzuri sana!
Mtoto aliweza kupima logic kwa uhuru na uweledi wa juu, bahati mbaya huenda alipatiwa maneno ya kimahubiri ili ayashikilie.Mtoto wangu (5) aliwahi niuliza ... Hivi baba Kwa Nini Mungu anamwacha Shetani atutese! Si angemmaliza tuu!? Tafakuri nzuri sana!
Ruwa Mangi; Aliye mkuu kuliko Mangi na asiyeonekana na anaishi mawinguni mwenye uwezo woteMungu anayo majina mengine mengi kulingana na lugha, tamaduni na kabila.. Hivyo Mungu hana jina MOJA
1. ADONAI-Mungu Mwenye Enzi Yote Mwanzo 15:2-8
2. EL – SHADAI-Mungu ututoshelezae/Mungu mtoshelezi
Mwanzo 17:1
3.EL-OHEENU- Bwana Mungu Wetu Zaburi 99:5,8,9
4. EL- GIBBOR- Mungu Mwenye Nguvu, Isaya 9:6-9
5. EL-OHEEKA- Bwana Mungu Wako Kut 20:2,5,7
6. EL-ELYON -Mungu Aliye Juu Sana Mwanzo 14:18
7. EL-OHIM- Muumbaji wa Milele Mwa 1:1
8. YEHOVA- SABAOTH Bwana wa Majeshi 1Samwel 1:3
9. JEHOVA TSIDKEMU -Bwana ni Haki Yetu Yeremia 23:6
10. JEHOVA RAPHA- Mungu Atuponyae,kutoka 15:26
11. JEHOVA MEKADDISHKEM- Mungu atutakasaye Kutoka 31:13
12. JEHOVA ROHI-Bwana Mchungaji Wangu Zaburi 23:1
13. JEHOVA JIREH- Mungu Atupaye /Atoaye Mwanzo 22:14
14. JEHOVA HOSEENU -Bwana Aliyetuumba Zaburi 95:6
15. JEHOVA NISSI- Bwana ni Beramu (Bendera)
yangu
Kutoka17:15
16. JEHOVA SHALOM -Bwana ni Amani, waamuzi 6:24
17. JEHOVA SHAMMAH -Bwana Yupo Hapa, Ezekiel 48:35
18.El-hai-Mungu aliyehai,Joshua 3:10,1 Samwel 17:26
19.El-elohe-israel-Mungu wa Israel, Mwanzoh 33:20
20.El-Olam-Mungu wa milele,Ufunuo 4:8,kutoka 3:14
Majina haya yapo katika Lugha za kiebrania
Shetani sio mwili ni roho na roho ikizaliwa haifi
Ruwa Mangi; Aliye mkuu kuliko Mangi na asiyeonekana na anaishi mawinguni mwenye uwezo wote
Thread closed.....Mungu anayo majina mengine mengi kulingana na lugha, tamaduni na kabila.. Hivyo Mungu hana jina MOJA
1. ADONAI-Mungu Mwenye Enzi Yote Mwanzo 15:2-8
2. EL – SHADAI-Mungu ututoshelezae/Mungu mtoshelezi
Mwanzo 17:1
3.EL-OHEENU- Bwana Mungu Wetu Zaburi 99:5,8,9
4. EL- GIBBOR- Mungu Mwenye Nguvu, Isaya 9:6-9
5. EL-OHEEKA- Bwana Mungu Wako Kut 20:2,5,7
6. EL-ELYON -Mungu Aliye Juu Sana Mwanzo 14:18
7. EL-OHIM- Muumbaji wa Milele Mwa 1:1
8. YEHOVA- SABAOTH Bwana wa Majeshi 1Samwel 1:3
9. JEHOVA TSIDKEMU -Bwana ni Haki Yetu Yeremia 23:6
10. JEHOVA RAPHA- Mungu Atuponyae,kutoka 15:26
11. JEHOVA MEKADDISHKEM- Mungu atutakasaye Kutoka 31:13
12. JEHOVA ROHI-Bwana Mchungaji Wangu Zaburi 23:1
13. JEHOVA JIREH- Mungu Atupaye /Atoaye Mwanzo 22:14
14. JEHOVA HOSEENU -Bwana Aliyetuumba Zaburi 95:6
15. JEHOVA NISSI- Bwana ni Beramu (Bendera)
yangu
Kutoka17:15
16. JEHOVA SHALOM -Bwana ni Amani, waamuzi 6:24
17. JEHOVA SHAMMAH -Bwana Yupo Hapa, Ezekiel 48:35
18.El-hai-Mungu aliyehai,Joshua 3:10,1 Samwel 17:26
19.El-elohe-israel-Mungu wa Israel, Mwanzoh 33:20
20.El-Olam-Mungu wa milele,Ufunuo 4:8,kutoka 3:14
Majina haya yapo katika Lugha za kiebrania
Shetani sio mwili ni roho na roho ikizaliwa haifi
Mungu ni Jina la Title, ni kama kusema Mfalme, bt mfalme ana jina.Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?
Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?
Kwahyo Yesu ni Mungu?Mungu ni Jina la Title, ni kama kusema Mfalme, bt mfalme ana jina.
Mungu ni MMOJA,
Mungu analo Jina, Jina tulilopewa WANADAMU litupasalo kuokolewa kwalo!!
Jina Hilo ni YESU KRISTO.
Mungu ni MMOJA, na YESU ndilo JINA lake.
Amen.
Umenena vyema ndugu Smotor.Kwahyo Yesu ni Mungu?
Kwahyo Yesu ni MunguUmenena vyema ndugu Smotor.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
Yesu ndiye Mungu.Kwahyo Yesu ni Mungu
Itakuwa vyema ukinijibu kuwa "NDIYO"
Kwahyo Mungu alitemewa mate msalabani na kiumbe chake?Yesu ndiye Mungu.
Hulijui Hilo?
Ndo huyo huyo aliyeiumba Mbingu na Nchi,Kwahyo Mungu alitemewa mate msalabani na kiumbe chake?
Hadithi ya Mungu huyo haina logic.Ndo huyo huyo aliyeiumba Mbingu na Nchi,
Hata sasa tunavyoongea ndiye aketike kwenye KITI Cha Enzi yote.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen.
Kwa Nini Mungu ni mmoja na ni Yesu kristo. So waislamu Wana poteza mda auMungu ni Jina la Title, ni kama kusema Mfalme, bt mfalme ana jina.
Mungu ni MMOJA,
Mungu analo Jina, Jina tulilopewa WANADAMU litupasalo kuokolewa kwalo!!
Jina Hilo ni YESU KRISTO.
Mungu ni MMOJA, na YESU ndilo JINA lake.
Amen.
Mungu ni MMOJA, wengine wote ni miungu mfano budha, allahu, kuzimu pia Ina mungu wake anaitwa Ibilisi na shetani nk.nk.Kwa Nini Mungu ni mmoja na ni Yesu kristo. So waislamu Wana poteza mda au
Budha hajawahi jiita Mungu acha uwongo. Fuatilia dini za wenzako ukristo sio dini ya kwanza na sio ya mwisho, how do u know ni dini ya ukweli na ni ya Mungu wa ukweli na wengine ni wa uwongoMungu ni MMOJA, wengine wote ni miungu mfano budha, allahu, kuzimu pia Ina mungu wake anaitwa Ibilisi na shetani nk.nk.
Waislamu wanamwita ISSA, ndiye Ishara ya kiyama kwao. Bila Yesu hakuna Mbingu Wala Pepo ni moto wa Jehanum wanausubiri.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen
Nyie ni watu wabaya sana.Mungu ni MMOJA, wengine wote ni miungu mfano budha, allahu, kuzimu pia Ina mungu wake anaitwa Ibilisi na shetani nk.nk.
Waislamu wanamwita ISSA, ndiye Ishara ya kiyama kwao. Bila Yesu hakuna Mbingu Wala Pepo ni moto wa Jehanum wanausubiri.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen