Mungu ni MMOJA tu, wengine wote ni miungu!!!Budha hajawahi jiita Mungu acha uwongo. Fuatilia dini za wenzako ukristo sio dini ya kwanza na sio ya mwisho, how do u know ni dini ya ukweli na ni ya Mungu wa ukweli na wengine ni wa uwongo
Nakuambia hivi,Nyie ni watu wabaya sana.
Mnajijua nyie tu.
Yaani watu wa dini mnataka chenu tu mlichoambiwa na sio kuskiliza cha wengine.
Mko tyari hata kuuwana kisa tu ulichojazwa upande wa imani yako.
Hvi unahabari kuwa huyo Yesu (mungu wako) nae anajumuishwa /anaitwa ni miungu kwenye imani za dini nyingine kama wewe ulivyowaita ?
Wewe unaulizwa kitu, unaanza kuhubiri.Nakuambia hivi,
Yesu ndiye Mungu njia pekee ya Kweli na Uzima.
Nimethibitisha Hilo, anaishi ndani yangu.
Amen
Kwanza hata hujanijibu nlichokuuliza.Nakuambia hivi,
Yesu ndiye Mungu njia pekee ya Kweli na Uzima.
Nimethibitisha Hilo, anaishi ndani yangu.
Amen
Hujanijibu hata hili piaNakuambia hivi,
Yesu ndiye Mungu njia pekee ya Kweli na Uzima.
Nimethibitisha Hilo, anaishi ndani yangu.
Amen
Swali la kwanza la kwanza halina mamtiki.Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?
Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?
Shetani anakaa ndani Yako, unaweza kuthibitisha Hilo ewe masonry mwabudu shetani?Wewe unaulizwa kitu, unaanza kuhubiri.
Tofauti na ujauzito, Inawezekana vipi kiumbe mmoja akaishi ndani ya kiumbe mwingine?
Na tutajuaje kama kweli anaishi ndani yako na sio tatzo la psychology tu ambalo umesababishiwa na mapokeo ya kidini?
Kuthibitisha uwepo wa upepo unaweza kufanyika kwa njia kadhaa:Unaweza kuthibitisha uwepo wa UPEPO?
Hakuna kitu kama shetani.Shetani anakaa ndani Yako, unaweza kuthibitisha Hilo ewe masonry mwabudu shetani?
Umethibitisha vipi mkuu??Nakuambia hivi,
Yesu ndiye Mungu njia pekee ya Kweli na Uzima.
Nimethibitisha Hilo, anaishi ndani yangu.
Amen
Kwanini mama yako aliitwa mama hakupewa jina jingine.?Miongoni mwa maswali najiuliza kila uchwao ni kwanini Mungu aliitwa Mungu na sio jina lingine?,Ni nani alimpatia hilo jina? Na kama yupo alikuwa nani?
Kwanini Mungu hakummaliza shetani hukohuko kama kweli ni muharibifu? kiasi kwamba anatuletea tabu ambazo tunaamini yeye ni chanzo? na anashindwaje kumuangamiza hata sasa ili hali hakuna anachondwa?