Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Wakuu,
Kama utakuwa umefatilia speech za huyu mzee utakuwa umegundua kitu.
-Anaongea kwa masihara lakini ujumbe unaokuwepo ni mzito na unaleta sense.
📌Sikia akiongelea mgogoro wa waarabu wa Sudan
📌Akiongea kuhusu ukabila uganda
📌
Yaan unacheka lakini ujumbe pia unafika
NB: Mimi si shabiki wake na wala sifurahishwi yy kutawala uganda kwa mkono wa chuma.Lakin jamaa anaweza kua ana akili nyingi kwa kumpima anachoongea.
Kama utakuwa umefatilia speech za huyu mzee utakuwa umegundua kitu.
-Anaongea kwa masihara lakini ujumbe unaokuwepo ni mzito na unaleta sense.
📌Sikia akiongelea mgogoro wa waarabu wa Sudan
📌Akiongea kuhusu ukabila uganda
📌
Yaan unacheka lakini ujumbe pia unafika
NB: Mimi si shabiki wake na wala sifurahishwi yy kutawala uganda kwa mkono wa chuma.Lakin jamaa anaweza kua ana akili nyingi kwa kumpima anachoongea.