Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Yaan huyu jamaa kweliViongozi wengi wazamani na waliopigania uhuru bado wanaule uhalisia!.
Hamna Raisi hopeless kama Mseveni wa Uganda, ni hypocrite anacho ongea ni tofauti na anacho waza na kufanya.Wakuu,
Kama utakua umefatilia speech za huyu mzee utakua umegundua kitu.
-Anaongea kwa masihara lakin ujumbe unaokuwepo ni mzito na unaleta sense.
[emoji419]Sikia akiongelea mgogoro wa waarabu wa sudan
[emoji419]Akiongea kuhusu ukabila uganda
[emoji419]
Yaan unacheka lakini ujumbe pia unafika
NB: Mimi si shabiki wake na wala sifurahishwi yy kutawala uganda kwa mkono wa chuma.Lakin jamaa anaweza kua ana akili nyingi kwa kumpima anachoongea.
ndio nafahamu na mm simsifii kwamba n mtu mzuri!Hamna Raisi hopeless kama Mseveni wa Uganda, ni hypocrite anacho ongea ni tofauti na anacho waza na kufanya.
Yaah yaan ana manenoKama uliambiwa mbinguni kuna raha ni kwa nini usipende kufa ili uende huko chap chap? Mungu kamuita mtu wake, ili nini? Ni mzee Museveni, very interesting!
Aiseee😂😂
Sijasema ana akili nyingiAngekuwa na akili nyingi Uganda isinge kuwa na uchumi mbovu vile,
Museveni!!Kama uliambiwa mbinguni kuna raha ni kwa nini usipende kufa ili uende huko chap chap? Mungu kamuita mtu wake, ili nini? Ni mzee Museveni, very interesting!
Huyu mzee akiongea ulimi wake hauvishi CONDOMWakuu,
Kama utakuwa umefatilia speech za huyu mzee utakuwa umegundua kitu.
-Anaongea kwa masihara lakini ujumbe unaokuwepo ni mzito na unaleta sense.
📌Sikia akiongelea mgogoro wa waarabu wa Sudan
📌Akiongea kuhusu ukabila uganda
📌
Yaan unacheka lakini ujumbe pia unafika
NB: Mimi si shabiki wake na wala sifurahishwi yy kutawala uganda kwa mkono wa chuma.Lakin jamaa anaweza kua ana akili nyingi kwa kumpima anachoongea.
"jamaa anaweza kua ana akili nyingi kwa kumpima anachoongea". Hayo maneno ndiyo niliyonukuu kutoka ktk uzi wkoSijasema ana akili nyingi
Ana “ART YA KUONGEA”
Sema tuu lugha anayoitumia ndo unaielewa, mimi naona rais wa misri ndo zinavutia zaidi ila ànatumia kiarabu wewe huelewi.Wakuu,
Kama utakuwa umefatilia speech za huyu mzee utakuwa umegundua kitu.
-Anaongea kwa masihara lakini ujumbe unaokuwepo ni mzito na unaleta sense.
📌Sikia akiongelea mgogoro wa waarabu wa Sudan
📌Akiongea kuhusu ukabila uganda
📌
Yaan unacheka lakini ujumbe pia unafika
NB: Mimi si shabiki wake na wala sifurahishwi yy kutawala uganda kwa mkono wa chuma.Lakin jamaa anaweza kua ana akili nyingi kwa kumpima anachoongea.
Tofautisha akili na udicteta na uroho wa madaraka!!"jamaa anaweza kua ana akili nyingi kwa kumpima anachoongea". Hayo maneno ndiyo niliyonukuu kutoka ktk uzi wko
ndio kila mtu huongelea anachoelewaSema tuu lugha anayoitumia ndo unaielewa, mimi naona rais wa misri ndo zinavutia zaidi ila ànatumia kiarabu wewe huelewi.