- Thread starter
- #21
Jamii forum inaingiwa na kila mtu, waliosoma na wasiosoma, wakubwa kwa wadogo kuna wakati tunahtaji lugha rahisi kueleweka na kila mtu kisha likizaliwa swali mada inazidi kujichimba yenyewe. Kwanza izo Omnibus ndio nn? Kwenye mawingu
Tatizo la jamii forum ni kila mtu kujifanya yupo deep na ndio maana kupata maandiko ya kimasomo kwa kiswahili ni kazi sana.
Alafu sisi walimu tuna mfumo wa rahsi kwenda ngumu yan simple to complex, hatuezi rukia complex alafu hii mada ikatoa elimu.
Mtihani wa hesabu hata form six usishangae ukaanza n MAGAZIJUTO
teacher lete point bana acha story