Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
nguvu za mvutano? zipi hizo mkuu?
Zipo chini ya dunia hii tuanayoishi.nikama sumaku ndio maana hata wewe ukipanda juu unaanguka chini wanaita force of gravity kwa kitaalamu.kitu chochite kinavutwa Na nguvu hizo.lakini zinaishia kwenye layer za juu. Huko hamna kitu