Jamii forum inaingiwa na kila mtu, waliosoma na wasiosoma, wakubwa kwa wadogo kuna wakati tunahtaji lugha rahisi kueleweka na kila mtu kisha likizaliwa swali mada inazidi kujichimba yenyewe. Kwanza izo Omnibus ndio nn? Kwenye mawingu
Tatizo la jamii forum ni kila mtu kujifanya yupo deep na ndio maana kupata maandiko ya kimasomo kwa kiswahili ni kazi sana.
Alafu sisi walimu tuna mfumo wa rahsi kwenda ngumu yan simple to complex, hatuezi rukia complex alafu hii mada ikatoa elimu.
Mtihani wa hesabu hata form six usishangae ukaanza n MAGAZIJUTO
Hukusoma jiografia wewe
mkuu wewe una idea gani hapa?
mkuu ukipanda ndege wakati mvua inanyesha ukiwa chini ya mawingu meupe utaiona mvua lakini mkiyapita na kuelekea juu ya anga la bluu utakuta kukavu kabisa hakuna mvua,why?
mkuu mbona sasa hv nje kuna jua na mawingu meupe kibao sasa mbona hayageuki maji na kunyesha?
Ukiona hivyo ujue haijataka mkuu! Hafu kwani Masika tayari?
mkuu wewe una idea gani hapa?
Nimeshakujibu mkuu tafuta reply yangu kwako upate majibu.
Mnaulizana wenyewe?
Kumbe wengine mpo kutafta thread zenu kuwa na reply nyingi
Aina za mawingu.....
Mawingu mdaa,
Mawingu moshi,
Mawingu kichuguu,
Mawungu ng'amba. Hiyo jografia darasa la tano. Sio mawingu yote yanasababisha mvua.
Leo hujakutana na wale wanyama wa ajabu?
Mvua inashuka kutokana na nguvu za mvutano
Jamani magreat thinkers tuje tena hapa,
Eti wakuu wasomi ni kwanini mvua unyesha kuanzia usawa mawingu meupe kwenda chini ardhini tu na kwa nini hainyeshi kuelekea anga ya blue? Yaani siku zote ukitoka usawa wa mawingu meupe kuelekea juu anga la bluu hakunaga mvua, why?
Karibuni wataalamu.