Swali hilo najiuliza hadi leo sipati jibu.
Huenda alidhamiria kuua upinzani na kutawala milele?
Lakini hata hivyo Mungu Mwenyezi alikuwa na yake.
Halafu kama ni hivyo na baada ya CHADEMA kutotambua uchafuzi huo kwa kutangaza dunia nzima imekuaje tena Bunge hilo lisilotambuliwa na Chadema kuapisha Wabunge wao?
Tena kwenye tenti na bila ya kuwapo kwa Siwa, yaani Mace?
Taasisi hiyo ya Bunge isiyotambuliwa na Chadema kwanini inang'ang'ania inayowaita wabunge wa chama hicho?
Mambo ya ajabu sana haya aiseee!
Huenda alidhamiria kuua upinzani na kutawala milele?
Lakini hata hivyo Mungu Mwenyezi alikuwa na yake.
Halafu kama ni hivyo na baada ya CHADEMA kutotambua uchafuzi huo kwa kutangaza dunia nzima imekuaje tena Bunge hilo lisilotambuliwa na Chadema kuapisha Wabunge wao?
Tena kwenye tenti na bila ya kuwapo kwa Siwa, yaani Mace?
Taasisi hiyo ya Bunge isiyotambuliwa na Chadema kwanini inang'ang'ania inayowaita wabunge wa chama hicho?
Mambo ya ajabu sana haya aiseee!