New City
JF-Expert Member
- Apr 17, 2014
- 2,880
- 3,794
Akija kujibu hapa uniambieWakiifunga Yanga mnawasifia mapambio kila aina mara hawajawahi kufungwa kwao nk Yanga akiwafunga wanageuka dhaifu ghafla,
Hao usma unaosema wapo nafas ya 10 walimtoa asfar ambae yupo nafas ya ngap hapo??
Rage alimaliza kila kitu