Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Richard,
Bahati mbaya tu, kwa nia njema ya kuwakomboa ndugu zetu waganda vita vya kagera viliyumbisha sana uchumi wa nchi yetu.Ndio maana Mwl JKN alikwama kufanikisha mambo mengi tu.Pia fitina za mabeberu maana alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha South Africa,Zimbabwe na Namibia zinakuwa huru.
mkuu, hata zaire ilikuwa mstari wa mbele kuhakikisha namibia inakuwa huru pamoja na Africa ya kusini tena marekani ambaye ni mmoja wa hao mnaowaita mabeberu alitoa misaada mingi tu kwa zaire ikiwemo ya ki uchumi kutokana na juhudi za zaire kutetea uhuru , hata uganda pia ilikuwa mstari wa mbele kuhakikisha zimbabwe inakuwa huru tena amin ali propose military intervention kabisa lakini uchumi wa nchi hizi mbili ulikuwa imara kuliko sisi
ni wakati watanzania tuseme ukweli pale tulipokwama tuache kujificha kwenye kichaka cha kupambania uhuru
Sent using Jamii Forums mobile app